Kwetu Iringa
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 355
- 88
Nchemba kaenda Igunga kumtembelea mpenzi wake , yule mke wa mtu!!
Aliyekuwa Mbunge wa
Igunga,Dr. Dalali Kafumu-CCM amekaririwa akisema kuwa tayari ameshafanya
maamuzi. Taarifa nilizonazo toka chanzo kilicho karibu na Dr. Kafumu
zinasema kuwa uamuzi wenyewe ni wa kutokata Rufaa dhidi ya Hukumu ya
Mahakama Kuu- Tabora iliyomvua Ubunge. 'Sina nia ya kukata rufaa na wala
sitajihusisha kwa namna yoyote ile na rufaa itakayokatwa na yeyote'
alisema Kafumu. ' Kuna watu wa ajabu sana...kwanini wanilazimishhe jambo
nisilotaka?' alifoka Dr. Kafumu. Picha inaendelea...
Tunamhitaji Mwigulu atoe majibu hapa, hizo kampeini ni za nini, hapo Igunga anafanya kazi gani ikiwa Dr Kafumu mwenyewe amekataa???Wakati aliyekuwa mbunge wa Igunga Bw Dalaly Peter Kafumu amesema hatakata rufaa kupinga hukumu iliyotengua "ushindi" wake wa ubunge, chama chake kupitia kwa Mwigulu Nchemba kimesema kitakata rufaa hiyo. Mwigulu amesema hivyo kwenye mikutano ya chama hicho inayoendelea jimboni Igunga wakati Kafumu ametoa tamko hilo alipohojiwa na Star Tv.
Source: Star Tv Habari.
My take: Mambo si shwari ndani ya ccm maana tangu Mwigulu aanze mikutano yake Igunga, Kafumu hajawahi kuonekana.
Chezea sisiem wewe!!!!!!!!!!!!!sisiem nikama mtoto wa mbuzi,ananyonya nabado anamtwanga mama yake vichwa,nakama kazaliwa dume ndio balaa tupu,akimaliza kunyonya anambashia mama yake.sisiem noma!!!!!!!!!!!!kudadadekiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tu'assume CCM ikishinda rufaa, kafumu atakataa kuwa Mbunge?
Ni msomi, amejitambua.