Wamunzengo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 810
- 321
Ngoja nipite kimya, maana nina hasira kweli nisije jiharibia jioni yangu.Ila iko siku kiburi cha hawa kenge kitaisha
MIA Mkuu, hii serikali ya kihuni ni bora ikafikia ukomo wake. hawana maana hata kidogo.
Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike waachane na hili li-serikali la ccm MAJAMBAZI/MAFISADI/MANYANG'ANYI.