Bomu la machozi linaweza kukupiga/kukugonga, kuwaka na kuunguza lakini sio kupenya kama risasi.hayo mabomu ukiligwa nalo nina kuua maana nakumbuka hapa arusha lilivunja dirisha na kuchoma vitu vilivyokuwemo huko lakini cha ajabu tuliambiwa chadema ndiyo tumechoma..