kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
HAYA MAAJABU YA DUNIA....HEBU SOMA HII NUKUU HALAFU NIKWAMBIE NILICHOGUNDUA..!!!!
Nadhani iko haja ya kuacha ushabiki na kujihakiki wenyewe kabla hatujachangia...hivi hatuoni namba hizo ni tofauti???PM/P/567/31 na PM/P/2/567/31 hivi hakuna tofauti hapo?
Nadhani mwandishi ana maana fulani kuweka 2 katika barua ya pili may be akimaanisha ni mwendelezo wa barua ya kwanza juu ya swala lile lile linalohusu wizara 2 tofauti. Nionavyo mimi kwa kuwa masuala yanayohusu barua hizo mbili ni mtambuka basi ilibidi barua 2 kwenda wizara husika zitoke...sioni utata kwenye hilo la matumizi ya kumbukumbuku namba hizo kama nilivyojaribu kuonesha.
hata mimi nililiona hivyohivyo kuwa kuna tofauti
Labda ishu ingekuwa kwanini awe na hizi barua wakati hajapewa nakala kwake