johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Aliyekuwa Mtunza Hazina wa CCM na mbunge wa Igunga Bilionea Rostam Aziz amesema Lowassa alikuwa ni ndugu yake na wameishi Nyumba moja kwa miaka 15
Rostam amesema Lowassa hakuondoka CCM kwa tofauti za kiitikadi bali alitaka Katiba ya CCM iheshimiwe
Source: Mwanahalisi Digital
Rostam amesema Lowassa hakuondoka CCM kwa tofauti za kiitikadi bali alitaka Katiba ya CCM iheshimiwe
Source: Mwanahalisi Digital