Kumbe rev.,mimi na cpu wote tulichelewa ? Shabani chiboko hahaha!Kama ni kweli utafanyaje?!
Kama sio kweli utafanyaje?!
Mi namjua Shabani alihamiaga shuleni kwetu darasa la nne...miaka 12 sijui na tatu alikua ameshaanza mapenzi kwahiyo labda!
mimi najua mvulana mara nyingi hutembea na wasichana ambao ni wadogo kwake ki umri!! sasa kama huyu dogo alianza mambo ya malavidavi akiwa na huu umri alikuwa anafanya na kina nani? walimu au nyinyi hapo ambao mlikuwa an miaka 7 na 8?Kama ni kweli utafanyaje?!
Kama sio kweli utafanyaje?!
Mi namjua Shabani alihamiaga shuleni kwetu darasa la nne...miaka 12 sijui na tatu alikua ameshaanza mapenzi kwahiyo labda!
Kumbe rev.,mimi na cpu wote tulichelewa ? Shabani chiboko hahaha!
mimi najua mvulana mara nyingi hutembea na wasichana ambao ni wadogo kwake ki umri!! sasa kama huyu dogo alianza mambo ya malavidavi akiwa na huu umri alikuwa anafanya na kina nani? walimu au nyinyi hapo ambao mlikuwa an miaka 7 na 8?
Nakuja,lakini nanii hayupo?
Nipo,lakini si unakandwa tu au umeelewa vipi ?Nakuja,lakini nanii hayupo?
Hizi details zinanitia wasiwasi lol!Nilichosikia ni kwamba alupokuwepo kabla alikua anatoka na wakubwa wake....alivyohamia kwetu akaanza kumuandikia rafiki yangu kipenzi barua za mapenzi sisi tulikua na miaka10!!Siku tulivyogundua mwl akatukamata na ile barua ikamfikia mama yake akachapwa kwanzia siku hiyo rafiki yangu akarudi kwenye mstari maana alishaanza kubadilika!!Sijui Shabani alimdanganya nani baada ya hapo!
Hhaahahaha...haya niambie wasiwasi gani niuondoe dearest!Hizi details zinanitia wasiwasi lol!
Spanish lady FN analalamika husemi ndio wala hapana unamchanganya.mia.Mi najua wenye majina ya Eiyer