Rose,Peter,Diana,Joseph,Juma,Shabani........

Nilichosikia ni kwamba alupokuwepo kabla alikua anatoka na wakubwa wake....alivyohamia kwetu akaanza kumuandikia rafiki yangu kipenzi barua za mapenzi sisi tulikua na miaka10!!Siku tulivyogundua mwl akatukamata na ile barua ikamfikia mama yake akachapwa kwanzia siku hiyo rafiki yangu akarudi kwenye mstari maana alishaanza kubadilika!!Sijui Shabani alimdanganya nani baada ya hapo!
sheria za JF zinakataza mtu kudanganya
 
Back
Top Bottom