Jibu tu limenipoza thanks dearest you are one of a kind.Hhaahahaha...haya niambie wasiwasi gani niuondoe dearest!
Mi najua wenye majina ya Husninyo!!!!
Spanish lady FN analalamika husemi ndio wala hapana unamchanganya.mia.
Jibu tu limenipoza thanks dearest you are one of a kind.
Kweliiiiiiii
sheria za JF zinakataza mtu kudanganyaNilichosikia ni kwamba alupokuwepo kabla alikua anatoka na wakubwa wake....alivyohamia kwetu akaanza kumuandikia rafiki yangu kipenzi barua za mapenzi sisi tulikua na miaka10!!Siku tulivyogundua mwl akatukamata na ile barua ikamfikia mama yake akachapwa kwanzia siku hiyo rafiki yangu akarudi kwenye mstari maana alishaanza kubadilika!!Sijui Shabani alimdanganya nani baada ya hapo!
Hus mlee hivohivo hali halali kwa ajili yako.mia.jamani! Hivi umesahau kama mtoto mdogo chupi yake nepi!
Hus mlee hivohivo hali halali kwa ajili yako.mia.
Mmmh!Lindo gani tena??
sheria za JF zinakataza mtu kudanganya
Hahaha! Unataka kumlea mshenga FN hataelewa halafu mwenzio nalelewa na kubembelezwa na lizzy sisikii wala sioni.mia.aka! Labda nikulee wewe. Lol!
Mbona unachelewa kusema?Lakini ninong'oneze akina Asha wasisikie watakuonea wivu!!
hapo sina ujanja kazi yangu itakuwa ni kumsisitizia lizzy akulee vizuri.halafu mwenzio nalelewa na kubembelezwa na lizzy sisikii wala sioni.mia.
Leo niko Mwanza kuna kaubari mbayaaaa