Rombo kama Loliondo!

Dili kama hizo lazima wachagga wazichangamkie hahhahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Masawe kaoteshwa hiki ni kituko hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kuna mwengine Mwanza ametoa gari linatangaza kwamba anatibu magojwa sugu, ila watu wamempinga alikuwa wapi siku zote mpaka Babu atokée.
 
Warombo kwa ujasiriamali siwawezi..wamechungulia dili la babu wakaona waanzishe la kwao. Duh
 
Na haitoishia hapo. wapo wengi watakaojitokeza tena kwa styles tofauti tofauti.
 
Kwa taifa kama la Tanzania watu wasio na matumaini ya kupata huduma bora za afya ni haki yao waamini kwa sababu hawana kipato cha kutosha kupata matibabu au huduma za afya za uhakika.

Viongozi wetu wenyewe wanatibiwa nchi za nje hizo gharama nani wa kuziweza? mimi ni mtu wa kawaida huko kijijini nashindwa kununua kidonge cha malaria sembuse iwe dawa ya cancer au chronic pneumonia au athma?..Hata ukisema kidole cha nguruwe ukichanganya na mkojo wa mbuzi zinatibu magonjwa sugu Mtanzania ataamini kwa sababu nchi haina medical infrustructure nzuri kwa wananchi wake.

Viongozi ndiyo hao wanatibiwa USA, UK, India , SA. Hongera kwa aliyegundua dawa hizo na nchi inakubaliana naye kama tunavyoona. Lakini WHO je?..Tanzania ni mwanachama wa WHO? Kama ndiyo inakuwaje serikali iruhusu matumizi ya dawa hizo? Nchi basi haina nidhamu katika sheria zake na sheria za WHO.

Tutafakari kwa makini kwani hakuna wataalaam wa Afya wanaozijua sheria za Afya za nchi na za WHO?..Au ndiyo siasa zenyewe kufunika uozo uliopo? Kwa kuwaduwaza wananchi wa Tanzania ambao wengi si wagonjwa bali ni njaa (malnutrition) sababu maisha yao ni duni, pamoja na ahadi za serikali maisha bora kwa kila Mtanzania pengine ndiyo... sifahamu
 
Siogope huyo kama ni Mkatoliki kanisa linajua vizuri kuvishughulikia hivi vitu vsije vikwawakwaza wengi. Intelijensia ya kanisa itakuwa huko tiyari kwa uchunguzi wa kin akabla ya watu kufurika
 
hapana bwana mchakamchaka,huyu ni mama aliyemzaa MWANA WA MUNGU,Kwa sisi wa-rc tuna imani ya kuwa na MUNGU MMOJA KATIKA NAFSI TATU, yani BABA,MWANA na ROHO MT,sasa huyu mwana ndio alikuja duniani ktk umbo la ubinadamu ili tuonje upendo wa MUNGU kupitia kwa mwanae mpendwa YESU,hoping i conquer u a bit and thank you kwa kuweka habari yote.

Je, inawezekana kwa mama mtakatifu bikira Maria kumtokea mtu na kumpa maagizo kana kwamba yeye(Bikira Maria) ni Mungu?
 
na mimi nimeoteshwa nipo huku kishapu shinyanga nina dawa inatibu magonjwa yote duniani!!!!! Mkishindwa kwa babu njooni kwangu....dawa ni neno!
 
Sio siku za mwisho ndugu, isipokuwa lazma tukubali sisi Watanzania bado tumetekwa na wale Adui wa3 alowataja JK wa ukweli, tunapenda sana shortcut. Ndiyo maana hatufanikiwi kbs ktk mambo yetu mengi ya maana.
 
Sio siku za mwisho ndugu, isipokuwa lazma tukubali sisi Watanzania bado tumetekwa na wale Adui wa3 alowataja JK wa ukweli, tunapenda sana shortcut. Ndiyo maana hatufanikiwi kbs ktk mambo yetu mengi ya maana.

kuna mwingine yuko mkuranga anatibu kwa 1500 tu,kama hupati mkopo benk,nyumba yupiga bati,cheo,scholarship etc,ukinywa 1 cup unafanikiwa
 
Hivi kuna nchi yoyote africa ina watu wana akili kama za watanzania?naombeni jibu
 
katika hili la ROMBO TRK, serikali inapaswa kuiangalia kwa umakini! vinginevyo badala ya kuponya tutakuwa tunatengeneza taifa la wagonjwa kuliko ilivo sasa! kwa kweli sasa naanza kupata hofu-hili hatuwezi kulikubali kabisa-na sasa wabongo muwe macho! nway msafara wa kenge hata mijusi inawezapatikana!:hatari:ni hatari sana!
 
aki milki ni ya babu huyu kijana asitafute umaarufu na pesa ya haraka haraka, atulie huko
 
hii imenistua kidogo coz pale tarakea ndio home town kabisa
nimewasiliana na watu kule wameniambia kijana malaria ilikua imepanda kumkichwa.
amechukuliwa jana jioni na ameshikiliwa na polisi kwa mahojiano.
 
Ningeshangaa kama Mangi hasingeibuka na kuchua hii opportunity... Ha ha ha ha Mangiiiiiii
 
Back
Top Bottom