Njaa inaupeleka ukiristo pabaya- kuna. Ukiristo umekuwa tatizo kwani wanatapeli watu kwa mgongo wa maono. Mf. DECI walidai kuoteshwa wakaibia watu. Kina kakobe, mzee wa upako, mwingira wote hawa wanawaibia waumini wao kila siku kwa kisingizio cha unabii/utume. Sasa wamezuka wengine kina babu wa loliondo na sasa nabii james wa rombo. Huu ni msiba mkubwa, wakiristo amkeni na utafuteni ukweli wa dini.
Unasubilia kuoteshwa kwani umekuwa bengu....lolduuuh sijui na mimi ntaoteshwa lini?:A S-coffee:
hii imenistua kidogo coz pale tarakea ndio home town kabisa
nimewasiliana na watu kule wameniambia kijana malaria ilikua imepanda kumkichwa.
amechukuliwa jana jioni na ameshikiliwa na polisi kwa mahojiano.
imagine cocktail ya loliondo na tarakea .... !