Rombo kama Loliondo!

Ukikubali ukweli huu, utakuwa huru.

1. Mtu akifa hawezi kabisa kuwasiliana na walio hai

Mungu aliwambia Adam na Eva Ukikubali ukweli huu, utakuwa huru.

1. Mtu akifa hawezi kabisa kuwasiliana na walio hai

Mungu aliwambia Adam na Eva mkila tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya mtakufa hakika, Mwanzo 2. Shetani akamwambia Eva, mkila hamtakufa hakika Mwanzo 3.

2. Waliokufa hawajui neno lolote, kumbukumbu lao limetoweka, Mhubiri 9:5.

3. Habari ya Bikira Maria na watakatifu wengine kuenndelea kuwa hai, inapingana na maandiko. Hilo ni moja ya mafundisho ya uongo yalioingizwa kanisani na Wakatoliki, Wakolosai 2:8, Daniel 7:25,

4. Uongo huo umefungua njia kwa ibada za wafu na kupitia wafu, na shetani na mapepo yamekuwa yakijitokeza katika sura ya marehemu, nakuwakeuza watu kumwelekea Mungu. Ndio maana utasikia Nyerere kanitokea, sijui Bikira Maria au mtakatifu flani, huu ni uongo. Pepo alimtokea Sauli katika Sura ya Samwel, wakati Samweli aliisha kufa, Samwel 28.

5. Ukifahamu hili utakuwa huru, hakuna ataykudanganya kwamba kaoteshwa dawa na Bikira Maria. Labda Pepo Mchafu. Hakuna ushahidi wowote wa kimaandiko wa kupalizwa kwa Maria. Hakuna cha pagatory, soma uelewe upate kuwa huru. 2 Wathesalonike 2:7-12. Hakuna maombezi kupitia wafu aka watakatifu, ni kupitia Yesu tu!! 2 Timotheo 2: 5

6. Biblia haijipingi, andiko lolote linalozungumzia kuishi baada ya kifo, humaanisha kuishi baada ya kuja kwa Yesu ambaye atawafufua watakatifu na watamlaki mawinguni. Ukisikia yesu amekanyaga ardhi hii, usijisumbue, huyo ni yesu feki, cosmic Christ, Yesu wa kweli hatagusa ardhi, bali tutamlaki mawinguni.

7. Sikashifu dini wala imani ya mtu. Anayekashfu ni yule, anayepindisha maandiko na kuwasingizia watu waliolala mauti kuwa wamewatokea.mkila tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya mtakufa hakika, Mwanzo 2. Shetani akamwambia Eva, mkila hamtakufa hakika Mwanzo 3.

2. Waliokufa hawajui neno lolote, kumbukumbu lao limetoweka, Mhubiri 9:5.

3. Habari ya Bikira Maria na watakatifu wengine kuenndelea kuwa hai, inapingana na maandiko. Hilo ni moja ya mafundisho ya uongo yalioingizwa kanisani na Wakatoliki, Wakolosai 2:8, Daniel 7:25,

4. Uongo huo umefungua njia kwa ibada za wafu na kupitia wafu, na shetani na mapepo yamekuwa yakijitokeza katika sura ya marehemu, nakuwakeuza watu kumwelekea Mungu. Ndio maana utasikia Nyerere kanitokea, sijui Bikira Maria au mtakatifu flani, huu ni uongo. Pepo alimtokea Sauli katika Sura ya Samwel, wakati Samweli aliisha kufa, Samwel 28.

5. Ukifahamu hili utakuwa huru, hakuna ataykudanganya kwamba kaoteshwa dawa na Bikira Maria. Labda Pepo Mchafu. Hakuna ushahidi wowote wa kimaandiko wa kupalizwa kwa Maria. Hakuna cha pagatory, soma uelewe upate kuwa huru. 2 Wathesalonike 2:7-12. Hakuna maombezi kupitia wafu aka watakatifu, ni kupitia Yesu tu!! 2 Timotheo 2: 5

6. Biblia haijipingi, andiko lolote linalozungumzia kuishi baada ya kifo, humaanisha kuishi baada ya kuja kwa Yesu ambaye atawafufua watakatifu na watamlaki mawinguni. Ukisikia yesu amekanyaga ardhi hii, usijisumbue, huyo ni yesu feki, cosmic Christ, Yesu wa kweli hatagusa ardhi, bali tutamlaki mawinguni.

7. Sikashifu dini wala imani ya mtu. Anayekashfu ni yule, anayepindisha maandiko na kuwasingizia watu waliolala mauti kuwa wamewatokea.

umenena vyema mpendwa.

Mungu akubariki na kukuzidishia ujasiri wa kunena zaidi na zaidi na ile hekima itokayo kwake. ni kweli, neno la Mungu pekee ndilo litakalotuweka huru.

Glory to God
 
Jamani mbona mnamnanga nabii wa watu mbona akina mwingira na manabii wengne wanaodai kufufua wafu na kuponya mbona hamuwasemi? Au kwa kuwa wao hawatumii mitishamba? Au ndo 2seme huyu kijana amekuja mda mbaya mda ambao babu tayari ameshajitokeza?
 
na bado, siku za mwisho hizi, kazi ipo!!

kumbukeni imeandikwa, " yeye avumiliaye mpaka mwisho ndiye atakayeokoka"

Glory to God

Samahani Miss Judith!
Mbona huu msemo wa "siku za mwisho" upo sana Tanzania tu?
Mbona nchi zingine watu wanaendelea kula raha zao tu.
Labda tatizo si "siku za mwisho" ila ni ubunifu wa watu katika kupambana na umasikini uliokithiri.
I stand to be corrected.
 
hata deci ilikuwa na nguvu na sapoti ya wananchi hivyohivyo...lakini mwishowake ni kilio..
 
kila jambo lina mwanzo na mwisho wake, walikuwepo na watakuja na kupita! kila mmoja atapimwa kwa matunda yake. Maisha ni haya haya. Uamuzi ni wako kwenda Loliondo kwa Babu au Rombo kwa Dogo! :target:
 
tatizo ni ujinga wetu na maradhi yanayotusumbua.kimsingi hakuna mtu asiyependa kuishi ndio maana mambo yapo hivi.yote tumuachie mungu.
 
Back
Top Bottom