Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
Warombo kwa ujasiriamali siwawezi..wamechungulia dili la babu wakaona waanzishe la kwao. Duh
Avatar yako tu mzee!
Warombo kwa ujasiriamali siwawezi..wamechungulia dili la babu wakaona waanzishe la kwao. Duh
kwa nini itokee tu tanzania? na siyo sehemu nyingie ya dunia? kama ni tanzania kwanini iwe kaskazitu tu?
Nchi ya mazingaombwe hii! Mtu ambaye malaria imepanda kichwani amechukuliwa na polisi na anahojiwa!!!hii imenistua kidogo coz pale tarakea ndio home town kabisa
nimewasiliana na watu kule wameniambia kijana malaria ilikua imepanda kumkichwa.
amechukuliwa jana jioni na ameshikiliwa na polisi kwa mahojiano.
Hivi kiswahili cha hasije badala ya asije, taharifa badala ya taarifa, hameacha badala ya ameacha nk. mbona kinazidi kushamiri hapa JF, mnakera ebo!Dogo hatuwezi kumhukumu,lakini ukiangalia kimazingira utagundua msoto wa maisha umemfanya agundue opportunity ya kuponea,tatizo hasije kuua watu.