chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 2,905
- 3,083
Habari wataalamu wa tiba katika forums hii.
Nimekwenda kituo cha afya ikigunduliwa ni pressure iliyojuu sana ambapo iko kwa kiwango cha 180/117 kutokana na kiwango hicho nimeshauriwa nianze kutumia dawa za kushusha.
niombe kwenu wadau kama kuna yeyote hali hii ilishawahi mkuta na kutumia dawa siyo kwamba nitakaribisha matatizo zaidi kwani hali yangu ya afya iko vizuri changamoto ninayokutana nayo ni kutoka jasho jingi hasa wakati wa usiku.
Nimekwenda kituo cha afya ikigunduliwa ni pressure iliyojuu sana ambapo iko kwa kiwango cha 180/117 kutokana na kiwango hicho nimeshauriwa nianze kutumia dawa za kushusha.
niombe kwenu wadau kama kuna yeyote hali hii ilishawahi mkuta na kutumia dawa siyo kwamba nitakaribisha matatizo zaidi kwani hali yangu ya afya iko vizuri changamoto ninayokutana nayo ni kutoka jasho jingi hasa wakati wa usiku.