Mziba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2010
- 245
- 109
Wakuu hii topic nadhani ni nyeti. Nakubaliana na kila kitu ambacho hawa wakuu kabla yangu walivyo changia. Kwa kuongezea, ili nchi kutengeneza uchumi wa kujitegemea lazima watu wamiliki ardhi au majengo.
Poor dad, rich dad na hichi kitabu kingine sijakisoma lakini mtungaji Robert Kobayashi anajua namna ya market financial instruments. Nimesoma Kobayashi nyingine inaitwa guide to investmetment which i would remend is to start with poor dad, rich dad, then Guide to Investment, then there is another one which my buddy will let me borrow. sisi wenyewe, basi hatunabudi tuingie biashara hii. Basi wakuu elimu ya uwekezaji hata nyumbani ipo tena wanayo sana. yani wakati nakua nilikua naambiwa maisha ya kesho mpaka unaona kama mwimbo. Mtu anaewekeza ni mtu ambae anatarajia maisha ya kesho. Nasababu ya kuingia uinteprenyua (ujasirimali) ni kutaka kesho tena upate rizki.
Hata elimu ya watu wazima bado ni elimu. Angalau kujua kubalance check book, wajasiri mali wengi hawana bank accounts. I used to be one myself. Max said something funny yesterady about picking up ones self from out of the ground. Men and women can not sell their products oversees simply they do not see the benefit of being inthe system.
Elimu nadhani kama tulivoambiwa ndio msing wa maendeleo, nadhani ni kweli
Poor dad, rich dad na hichi kitabu kingine sijakisoma lakini mtungaji Robert Kobayashi anajua namna ya market financial instruments. Nimesoma Kobayashi nyingine inaitwa guide to investmetment which i would remend is to start with poor dad, rich dad, then Guide to Investment, then there is another one which my buddy will let me borrow. sisi wenyewe, basi hatunabudi tuingie biashara hii. Basi wakuu elimu ya uwekezaji hata nyumbani ipo tena wanayo sana. yani wakati nakua nilikua naambiwa maisha ya kesho mpaka unaona kama mwimbo. Mtu anaewekeza ni mtu ambae anatarajia maisha ya kesho. Nasababu ya kuingia uinteprenyua (ujasirimali) ni kutaka kesho tena upate rizki.
Hata elimu ya watu wazima bado ni elimu. Angalau kujua kubalance check book, wajasiri mali wengi hawana bank accounts. I used to be one myself. Max said something funny yesterady about picking up ones self from out of the ground. Men and women can not sell their products oversees simply they do not see the benefit of being inthe system.
Elimu nadhani kama tulivoambiwa ndio msing wa maendeleo, nadhani ni kweli