Sn2139
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 834
- 250
Ndg Mabadilikosasa, Watu hawataki uwape mfano wa Lowasa kwasababu ni sawa na kuruka mkoj.. na kukany@# #@5!. Tolea mifano ya Dr Mwakyembe na Dr Magufuli. Ukitamka Lowasa watakuona kama umetomwa kuchokoza, kupima upepo au kumsafisha fisadi.
Lakini hoja yako ni marudio tu ilishazungumzwa sana. Dr Slaa aliimba hadi kulia alipoona umasikini wa watu na nyumba zao huko Dodoma. Je uliwahi kufuatilia hotuba zake hizo?
Lakini hoja yako ni marudio tu ilishazungumzwa sana. Dr Slaa aliimba hadi kulia alipoona umasikini wa watu na nyumba zao huko Dodoma. Je uliwahi kufuatilia hotuba zake hizo?