Asilimia 10.3 ya Wanawake Duniani wanaishi katika Umasikini wa kutisha kuliko Wanaume

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,502
9,280
Wanawake wanakumbana na viwango vya umasikini vya juu kuliko Wanaume, na pengo la kijinsia katika Umasikini linatarajiwa kuendelea hadi katikati ya karne.

Takwimu za Kimataifa kutoka UN Women zinaonesha, asilimia 10.3 ya Wanawake Duniani wanaishi katika Umasikini wa kutisha kuliko Wanaume.

Takwimu kutoka Nchi 48 zinazoendelea zinaonesha Dola zaidi ya bilioni 360 zinahitajika kila mwaka ili kufikia Usawa wa Kijinsia pamoja na kumaliza Umasikini na njaa.

Maendeleo kuelekea kumaliza Umasikini yanahitaji kuwa mara 26 zaidi ili kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDG's) ifikapo 2030.

Aidha, Mgogoro wa sasa wa Chakula na Nishati unawaathiri Wanawake kwa kiasi kikubwa, sababu pengo la Kijinsia la Kimataifa katika Ukosefu wa Chakula lilikuwa asilimia 2.4 Mwaka 2022.

Mabadiliko ya hali ya Hewa na Upotevu wa Bioanuai una athari kubwa kwa Wanawake na Wasichana, haswa wanaotegemea Rasilimali asilia kwa Chakula, Maji, na Nishati. Wanawake na Wasichana milioni 158.3 wanaweza kuingia katika Umasikini ifikapo Mwaka 2050.
 
Wanawake wanakumbana na viwango vya umasikini vya juu kuliko Wanaume, na pengo la kijinsia katika Umasikini linatarajiwa kuendelea hadi katikati ya karne.

Takwimu za Kimataifa kutoka UN Women zinaonesha, asilimia 10.3 ya Wanawake Duniani wanaishi katika Umasikini wa kutisha kuliko Wanaume.

Takwimu kutoka Nchi 48 zinazoendelea zinaonesha Dola zaidi ya bilioni 360 zinahitajika kila mwaka ili kufikia Usawa wa Kijinsia pamoja na kumaliza Umasikini na njaa.

Maendeleo kuelekea kumaliza Umasikini yanahitaji kuwa mara 26 zaidi ili kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDG's) ifikapo 2030.

Aidha, Mgogoro wa sasa wa Chakula na Nishati unawaathiri Wanawake kwa kiasi kikubwa, sababu pengo la Kijinsia la Kimataifa katika Ukosefu wa Chakula lilikuwa asilimia 2.4 Mwaka 2022.

Mabadiliko ya hali ya Hewa na Upotevu wa Bioanuai una athari kubwa kwa Wanawake na Wasichana, haswa wanaotegemea Rasilimali asilia kwa Chakula, Maji, na Nishati. Wanawake na Wasichana milioni 158.3 wanaweza kuingia katika Umasikini ifikapo Mwaka 2050.
Dunia ya sasa hivi kila kitu wanawake this, wanawake that.

Tunawapenda, tunawaheshimu, tunawasaidia, ila je... hii changamoto ya chakula, maji na nishatibayo tunasema imewaathiri wanawake zaidi ya wanaume, hivi wanawake waaishi planet tofauti na wanaume?
Bei ni zile zile, availability ni ile ile... chini ya beijing convention ambako wanawake mlidai haki sawa, punguzeni kulalamika na kujivutia kwenu bana.

Mwisho tutaambiwa pollution inasababisha wanawake washindwe kuvuta pumzi peke yao.

Ukweli usemwe kama ukweli, and yet wanaume tunakufa zaidi ya wanawake...

Khaa!
 
Dunia ya sasa hivi kila kitu wanawake this, wanawake that.

Tunawapenda, tunawaheshimu, tunawasaidia, ila je... hii changamoto ya chakula, maji na nishatibayo tunasema imewaathiri wanawake zaidi ya wanaume, hivi wanawake waaishi planet tofauti na wanaume?
Bei ni zile zile, availability ni ile ile... chini ya beijing convention ambako wanawake mlidai haki sawa, punguzeni kulalamika na kujivutia kwenu bana.

Mwisho tutaambiwa pollution inasababisha wanawake washindwe kuvuta pumzi peke yao.

Ukweli usemwe kama ukweli, and yet wanaume tunakufa zaidi ya wanawake...

Khaa!
Upo sahihi mpendwa women empowerment ni nzuri Kwa namna Moja lakin tukumbuke kwamba swala la usawa wa kijinsia linaonekana kupewa wanawake Zaid na wanaume wanaanza kutelekezwa jambo ambalo linapelekea kuwepo Kwa migogoro mingi ya kifamilia ambayo inawafanya wanawake wasahau majukum Yao ya kifamilia kama mama wa familia takwim zinaonesha asilimia kubwa ya ndoa huvunjika Kwa sababu yakupotea Kwa hekima na wajibu wa mama na baba katika kutimiza mahitaji ya kifamilia inaonekana kwamba wanaume wengi huwaacha wake zao na kutelekeza familia Kwa ujumla Hali ambayo inasababishwa na wanawake kujiona kuwa ni Bora kuliko wanaume kutokana na Hali hiyo hatuwezi kuepuka swala la njaa Kwa sababu maendeleo huanzia chin kwenda juu kama tukifanikiwa kuondoa Hali hii bas familia nyingi zitadumu na uzalishaji utakuwepo Kwa Hali juu maana huwez ukasema kwamba unataka kuondoa Hali hiyo wakati familia haziana umoja hoja yangu kuu hapo ni kwamba kama tunaweka swala la usawa basi tusilalie upande Mmoja.
 
Back
Top Bottom