Nimekosa kabisa hamu na nchi yangu Tanzania.I'm Speechless and Mouth open.
I wish hata nusu Watanzania wangejua haya madudu ya Serikali ya CCM.
But hang on, it is my wishful thinking, most of the Tanzanians wanaogelea kwenye lindi la ujinga na maskini.
Kujua ukweli huu kwao ni sawa na kumuona Yesu mawinguni.
Sasa ngoja tumsubiri Werema na Kichwa chake cha kufungia nywele. Lakini ipo siku Mungu atatupatia haki yetu mliyotunyang'anya CCM, Watanzania tuzidi kuomba.
Inawezekana hata uteuzi wa Werema haukufuata taratibu ndio maana anajikomba sana mpaka inabore