obm
Member
- Aug 4, 2011
- 67
- 10
Once you know the reality you dont have to worry saying what is true. Hii ndio ilimfanye TL aseme kuwa kuna majaji wa mtaani, inatisha sana na ndio maana huu mhimili umekosa mwelekeo. Kuna thread ilikuwa inasema mahakimu wanataka kugoma kweli kwa upuuz huu wa majaji weneye diploma ya sanaa inawezekana kabisa nashauri wagome au wawe na mgomo baridi. kwa mfano katika hukumu wamfunge mshitaki badala ya mshitakiwa ...