Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 1,297
Haki itapatikanaje mahakamani kwa mtindo huu?
Sahau!!!!
Haki itapatikanaje mahakamani kwa mtindo huu?
Umenena mkuu, huko ndio balaa, nadhani mkurugenz wa NIDA aliwaumbua polisi wana vyeti bandia...binafsi nawatambua sita wanatumia majina ya watu na kwa sasa wana vyeo, mbaya zaidi kuna mmoja alimuua jamaa aliekuwa na cheti chake I mean anaetumia jina lake....
Si Ndugai wala Lukuvi au Werema, achilia mbali vilaza wengine wa ccm pale bungeni watakaosema neno katika suala hili.
Nasikitika MWANAHALISI wamelifungia kwani nina uhakika wangeichapisha habari hii jinsi ilivyo ili kila mtanzania aione.
Hawa walishatugeuka taaluma yao wanitumia kukandamiza haki za wanyonge.na sababu kubwa nafasi za juu wamekabidhiwa vichaa.Kwa harakaharaka nijifunza kitu kwa tundu lissu kuwa udhaifu huu haijaanza kipindi cha JK bali tangu siku nyingi.Madhara yake ndiyo tunaanza kuyaona leo kesi za ajabu zinafunguliwa na huku serikali ikiendelea kutumia mahakama kama kichaka,kumbe mpango wa kuandaa play makers ulianza siku nyingi.Na sasa kuwaondoa wale itatuchukua muda kwa maana nyingine haki za kimahakama hazipo tena.Kilichobaki ni kuiondoa ccm madarakani ili kuweza kufumua mtandao wa vihiyo wa sheria
Mkuu its true story. marehemu JPM alikuwa anadai cheti chake original, wataki pia askali huyo akitakawa kuthibitisha vyeti vyake. alternative akaona amumalize kwenye mazingira tata.Mzee hapo umeniogopesha, kumbe wahuni hawa wanaweza kukuua kwa ajili ya cheti chako??
Nafikiri Tanganyika Law Society wanapaswa kutupa majibu kwani wao wanafanya nini kusimamia taaluma ya sheria kwa sababu hii inadhalilisha tasnia ya sheria Tanzania wenzao zanzibar chama cha wanasheria walisimama kidete kupinga uteuzi wa baadhi ya majaji ingawa uteuzi wao haukubatilishwa lakini angalau walionyesha msimamo wao
Siyo shanga, ni medal.Hiyo Avatar yako hapo, Bush anamvalisha nani huyo shanga shingoni??
Ngoja nikasome sheria kidogo ili nijiridhishe juu ya wale waliokuwa wakimkosoa Lissu katika hotuba yake ya kambi rasmi ya upinzani bungeni na kuwatetea watu hawa, tena kwa maneno makali.
Walifanya hayo kwa mujibu wa kifungu gani cha katiba au sheria za bongoland! Nakwenda pia kufuatilia kama waliyajua haya mapema kabla ya kuanika udhaifu wao bungeni. Nikitoka huko nakuja "kubomoka"!
Hamu yangu kubwa ni kuona hiyo 'addendum' kwani Werema anaweza akawemo!
eehhhh! Ushahidi mzito sana huu, ngoja ni ucopy nimpelekee kubenea mara moja.
Majaji hawa aliowataji kamanda Lissu nime- wa-google ni aibu! grrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!
1.Fatuma Massengi,
2.Mary Sumari,
3.Imani Mkwawa-Aboud
4 .Sekela Mushi,
5.KASSIM NYANGARIKA,
6.ZAINAB G. MURUKE,
7......
kwa maoni yangu huyu jamaa anafaa kuwa Jaji kiongozi
mh. Tindu lisu, wewe ni mdogo wangu kiumri ila kwa hili ninaomba nikusalimie "shikamoo mkubwa". kwa serikali na mihimili yake, ninawaomba sana kwa kuwa mambo hayako fresh kwenye teuzi nyingi naomba mfunge midomo msitake sana ushahidi, mkiutaka ndiyo kama huu hapa, umewaacha uchi kwa aibu kubwa mno. Mhe. Spika na msaidizi wako, please msipoangalia by 2015 mtakuwa mmekuwa vinara wa kuidondosha ssm. This is shameless, very shameless. Huu ni udhaifu na ulegelege mkubwa sana kwa teuzi za nchi hii, zina utata. Ningekuwa mimi mwanasheria mkuu, jaji kiongozi, na jaji mkuu hata na registrar ningejiuzulu kabisa. It is a shame tuna majaji wa mahakama kuu na rufani halafu are not learned lawyers!!! Incompetent, incopetent incompetent. i would like to see pro ssm coming here to give us a word!!! Welcome.