ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
View attachment 55713
Wakuu nimeikuta hii kule Mjengwablog, eti Ridhiwani amebariki usalama wa taifa na TAKUKURU wamchunguze.
Swali ni kuwa kumbe huyu asipotaka kuchunguzwa haiwezekani kwani ni mpaka atoe ruhusa?
Kwa picha zaidi za magazeti ya leo mnaweza kwenda www.mjengwablog.com
iundwe tume huru na sio hii takukuru yetu