Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Wakuu nimeikuta hii kule Mjengwablog, eti Ridhiwani amebariki usalama wa taifa na TAKUKURU wamchunguze.
Swali ni kuwa kumbe huyu asipotaka kuchunguzwa haiwezekani kwani ni mpaka atoe ruhusa?
Kwa picha zaidi za magazeti ya leo mnaweza kwenda www.mjengwablog.com