Richard Kasesela nae, eti ana falsafa za mwalimu

Tatizo la Wtz wengi ni wachovu wa fikra chanya,kwa mtu aliyemsikiliza vizuri RAK akiwa ITV na then pale Theatre one kwenye mdahalo hawezi kuongea utumbo juu yake!
Wengi mnaoongea kwa hisia mbaya juu ya wenzenu ,ni kwamba ama mmekosa nafasi au mmeshindwa kutumia fursa zilizopo kujijenga katika jamii na kuletea Taifa hili maendeleo.
Ni sawa na vilaza fulani ambao wamekariri mambo ukiongea nao jambo ambalo hawalioni ktk madesa yao watakuambia unauza chai.
Kazi yao ni kuponda siasa lakini hawaishi kuwaabudu wanasiasa maarufu!

Wivu wao ni kwa sababu RAK amejitambulisha kuwa ni mfuasi wa Nyerere na ni mwana CCM,angesema ni mfuasi wa Mbowe na ni CDM ndo ungejua wengi waliochangia thread hii upeo ni mdogo kiasi gani,wangetoa sifa kibao juu yake.
Kasesela songa mbele,acha nao don't follow the crowd since majority are lossers and minorities are winners.
 
Musoma always give mojority and not minority otherwise you contravane fundamental principles of a democratic society
 
nami nilimsikia Tanzania hii kila mtu anaongea kile anacho jisikia na haongei uhalisia. Fuatilia kauli za waliokuwa viongozi wetu baada ya kuachia madaraka
 
RAK is a damn good boy who get his bread by rubbing shoulders and cling to Wakubwa of Mwapachu's status.
 
Mwacheni RAK, anatafuta kula yake, labda style yake ndio hiyo, wale wanaomponda nao wajipendekeze nao kwa wakubwa ili wafanikiwe.

Nashangaa haters wanamchukia hivi, hajamuibia mtu, hajatembea na mke wa mtu wala kumponda hadharani mtu yoyote. Duniani kila mtu ana style yake ya kutafuta maisha, RAK ni mtafutaji kama sie wote humu, just give the boy some break!
 
RAK ni kijana ambae ana uwezo hilo halina ubishi ila anatakiwa kupunguza kujiojesha kuwa anaweza
 
Hivi jamani mnataka kila mtu afiche ubini wake kama tulivyo wengi humu. Ni jionyeshaje? @ makupa.
I have been participating in this debates since I was in high school wengi wenu mkifyata mkia for those who knew me waulize uchaguzi wa ubunge kisarawe. Or kipindi cha mzee Ben who would dare to ask a question, I did question him during the development of vision 2025 Arusha I still remember nilifuatwa na watu wazima jioni wakaniuliza we uko upinzani nini? Guys I was born a man and I will never fear no one as long as I a right and I am sure that I have dine no harm to none. Huwa namtegemea Mungu sana.,Pia sijipendekezi kwa mtu yoyote kwanza kwa kazi yangu kama Chair for Pan Africa Business Coalition I meet several excellencies, nimekutana na marais na mwaziri kadhaa not to mention former Presidents. If these people are my friends nyie kunawauma nini?
Tatizo la Taifa letu mnadhani kila mtu akiwa na mkubwa au tajiri basi kajipendekeza. Kwa kweli ni aibu kwa wasomi kuwa na mawazo finyu.
Kwa taarifa yenu kumbukeni unampiga chura teke unadhani unamtoa kumbe ndio unamuongezea mwendo.
Mungu awaondolee matongo tongo maana to show that you have no confidence non of you mnaonisema vibaya would dare to tell me face to face.
#&@++++$$T
 
Tatizo la Wtz wengi ni wachovu wa fikra chanya,kwa mtu aliyemsikiliza vizuri RAK akiwa ITV na then pale Theatre one kwenye mdahalo hawezi kuongea utumbo juu yake!
Wengi mnaoongea kwa hisia mbaya juu ya wenzenu ,ni kwamba ama mmekosa nafasi au mmeshindwa kutumia fursa zilizopo kujijenga katika jamii na kuletea Taifa hili maendeleo.
Ni sawa na vilaza fulani ambao wamekariri mambo ukiongea nao jambo ambalo hawalioni ktk madesa yao watakuambia unauza chai.
Kazi yao ni kuponda siasa lakini hawaishi kuwaabudu wanasiasa maarufu!

Wivu wao ni kwa sababu RAK amejitambulisha kuwa ni mfuasi wa Nyerere na ni mwana CCM,angesema ni mfuasi wa Mbowe na ni CDM ndo ungejua wengi waliochangia thread hii upeo ni mdogo kiasi gani,wangetoa sifa kibao juu yake.
Kasesela songa mbele,acha nao don't follow the crowd since majority are lossers and minorities are winners.

Thanks
 
Richard,
Pole sana kijana.
1. Nafikiri hii ni mara ya pili nakuona hapa JF, last time ulitumia moja ya jina lako, this time umekuja na RAK........karibu tena.....

2. Ni kweli rushwa ni rushwa na zote hupaswa kushughulikiwa ipasavyo. Imenishangaza sana kusikia kutoka kwako.....eti "rushwa ndogo na kubwa zisitenganishwe/zishughulikiwe kiusawa...."... Unachukua approach ya kujibu maswali magumu kwa majibu mepesi/ya mkato.....wewe ukiwa kama kiongozi inabidi ufanye utafiti wa kina kwa nini taasisi kama PCCB zipo....na kuna wataalamu wake (notwithstanding masharti ya western countries na MFIs zao).....kama kweli ni mfuasi wa falsafa za JKN....then kwa mtizamo wako huo wa rushwa......there is a lot left to be desired...kutoka kwako kama Kiongozi kijana.....

3. Chura akipigwa teke..... kuna mawili....either karahisishiwa safari kama ulivyo-assume.....or kaongezewa ugumu/urefu wa safari....nimesema ugumu....kwa sababu chura akipigwa teke pia anaweza akavunjika mguu.....vile vile inategemea ni nani kapiga chura mguu....chura anaweza kuzimia......
The point is misemo mingine haiko relevant na issues at hand.....again it leaves behind a lot of questions kuhusu assumptions zako.....

4.Kukutana kwako na Presidents and the likes au kuwa karibu nao kama ulivyosema hapo juu again......kumuuliza swali...Mr. Ben.....welldone....however, what are you trying to imply?........
 
As I have said earlier if you serious wants to help and give good advise identify yourself so,that I know naongea na nani as well as which gender or trans gender ili nisije nikakosea kuku address. Pia its about time now if you are man or woman enough tujuane basi. That will make
a good sense for both us
 
Hivi jamani mnataka kila mtu afiche ubini wake kama tulivyo wengi humu. Ni jionyeshaje? @ makupa.
I have been participating in this debates since I was in high school wengi wenu mkifyata mkia for those who knew me waulize uchaguzi wa ubunge kisarawe. Or kipindi cha mzee Ben who would dare to ask a question, I did question him during the development of vision 2025 Arusha I still remember nilifuatwa na watu wazima jioni wakaniuliza we uko upinzani nini? Guys I was born a man and I will never fear no one as long as I a right and I am sure that I have dine no harm to none. Huwa namtegemea Mungu sana.,Pia sijipendekezi kwa mtu yoyote kwanza kwa kazi yangu kama Chair for Pan Africa Business Coalition I meet several excellencies, nimekutana na marais na mwaziri kadhaa not to mention former Presidents. If these people are my friends nyie kunawauma nini?
Tatizo la Taifa letu mnadhani kila mtu akiwa na mkubwa au tajiri basi kajipendekeza. Kwa kweli ni aibu kwa wasomi kuwa na mawazo finyu.
Kwa taarifa yenu kumbukeni unampiga chura teke unadhani unamtoa kumbe ndio unamuongezea mwendo.
Mungu awaondolee matongo tongo maana to show that you have no confidence non of you mnaonisema vibaya would dare to tell me face to face.
#&@++++$$T

Hizi porojo uwasimulie wasiokufahamu, otherwise wewe ni oppurtunist tu kama akina Kigwangalla, Bashe, Januari you name it. Ni vema ukakaa kimya kwa sasa kulinda heshima yako. Toka lini mtoa rushwa akawa na moral authority ya kuzungumzia rushwa!!!!!! Check it on the mirror bro!!!!! halafu ukumbuke mwaka jana!!!
 
RAK
Ni vyema ukajipima kwanini ushambuliwe hivyo, labda ni kutokana na wewe kuwa mchangamfu sana kupita kiasi au uwezo wako ni mkubwa kiasi kwamba vijana wa mtaani wanakuonea uwivu.

Ili uweze kufikisha ujumbe wako vizuri kwa WATANZANI ni vyema ukawa na makala yako kwenye baadhi ya MAGAZETI MAKINI kama vile Daily News, hili itakusaidia zaidi kuliko kuvizia mihadhara ambayo kama sikosei imekuwa ni mwiba kwako katika juhudi za kutaka KUJULIKANA.
 
Thanks to all uzuri wake what ever is,said nasonga mbele wala sirudi nyuma. Kwa wale wanaoumia nawapa pole sana. kwa hiyo mtasemaaaa mtatukanaaa na hata mtagugumia sitetereki. Nawashukuru wale walionipa moyo .
All the best
 
Hizi porojo uwasimulie wasiokufahamu, otherwise wewe ni oppurtunist tu kama akina Kigwangalla, Bashe, Januari you name it. Ni vema ukakaa kimya kwa sasa kulinda heshima yako. Toka lini mtoa rushwa akawa na moral authority ya kuzungumzia rushwa!!!!!! Check it on the mirror bro!!!!! halafu ukumbuke mwaka jana!!!

Ni aibu hasa kwa wewe kuwa mtu wa majungu. Ukizingatia nilikuwa nakuheshimu despite I was senior to you Nyambala ( I dont need to reveal ubini wako hapa)
 
Mnajua binadamu tunatofautiana,kwangu mimi nikiwa namfahamu Bibo tangu shule ya msingi Muhimbili hivyo ndivyo alivyo,hamuwezi mbadilisha. Msimamo na tabia zake zimemjengea marafiki na haters. Ushauri kwa mdogo wangu RAK punguza jazba na vitisho.
 
Ukitaka nichague nitachagua Professa though anapashwa kuwa anafundisha si kwenye siasa. Wana Rungwe hamna mtu mwingine zaidi ya huyu Richard? Amkeni msimpe jimbo mtu halafu mjutie.
 
jamaa anajulikana kwa nickname ya Bibo...kwa mwenye akili timamu ukimuamini bibo, basi na wewe una walakini kubwa sana
 
Back
Top Bottom