Revealed: Kumbe JK na madaktari Ikulu waliongea haya...

Kwa hiyo kwa yale masaa sita waliongea nini? Madaktari wamemwamini Rais na waliongea in camera na Mgomo umeisha tuache chokochoko tuwaache madaktari wafanye kazi na serikali ifanye kazi yake kwa mujibu wa mazungumzo yao.

Ukweli wenyewe nakubaliana kwamba Raisi amekiuka msingi wa mazungumzo ametumia platform ya kuzungumza na wazee kuwatukana na kuwadharilisha madaktari kinachofuata ni Resistance ya madaktari ini silence mpaka wananchi tutakapojua tunaitaji kudai haki zetu ,nadhani katika utendaji wao wa kazi hakutakuwa na kuimprovise kwa mfano kutumia gloves za nailoni badala ya mpira,kutumia savlon badala ya spiriti,kupima mngojwa kwa kiganja kujua joto limepanda badala ya thermometer kupiga magoti kumkagua mgonjwa chini ya sakafu badala ya kitanda,watataka mambo na vifaa viwepo kuwawezesha , Mahusiano kati ya daktari na nurse yatakwenda arijojo manake Kikwete amewasifu wakati ukweli ili kazi ziende hawa wwanafanya kazi kama team alichokuwa anadai daktari automatically kingewanufaisha wafanyakazi wote wa sekta ya afya yeye anatumia mbinu za divide and rule
 
Tanzania ya leo bila nguvu ya umma hupati kitu. Madocta mlifanya makosa sana kukataa pale "wazee" wa nguvu ya umma walipoomba muwauzie hilo dili. Nyie mkajifanya wajanja sasa biashara kwisha. Madai yenu hakuna kutekelezwa na taswira yenu kwa jamii kwa sasa kwishnei.

Ngojeni 2016 wazee wa kazi watakapochukua nchi.
 
Ukweli ni kwamba JK amewapiga goli la kisigino madaktari wetu.

Kwa jinsi navyomfahamu, biashara ya kushughulikia issues za madaktari ziliishia pale waliposhikana mikono na kuagana. Huyo ndiyo kikwete. Madaktari wala wasitarajie lolote la maana.

Ukitaka uamini ona alivyoongea na hao anaowaita wazee wa darisalamu! Ni kama alikuwa anawabeza madaktari.

Kwa ufupi, madaktari ndiyo mmeliwa hivyo.


Madaktari wameliwa au sisi ndiyo tumeliwa. Madaktari wanapodai vifaa zaidi vya kuhudumia wagojwa mahospitalini ni kwa ajili yao au yetu watanzania wote?
 
Madaktari wameokota manyoya? kuku mwenyewe yuko wapi? JK ni zaidi ya mruka viunzi.
 
Hivi kuna mantiki gani linapotokea tatizo la kitaifa Rais anakimbilia kwenda kuwatubia wazee wa Dar Es Salaam badala ya kutafuta njia sahihi ya kutatua taizo lenyewe! Hao wazee wanamsaidi ama wanamshauri nini rais katika kutatua tatizo husika?
 
Tanzania ya leo bila nguvu ya umma hupati kitu. Madocta mlifanya makosa sana kukataa pale "wazee" wa nguvu ya umma walipoomba muwauzie hilo dili. Nyie mkajifanya wajanja sasa biashara kwisha. Madai yenu hakuna kutekelezwa na taswira yenu kwa jamii kwa sasa kwishnei.

Ngojeni 2016 wazee wa kazi watakapochukua nchi.

mkuu kama wangechanganya na mambo ya siasa ingekuwa mbaya kwao, bora madr waliamua kusimama kivyao
 
madaktari hawajakosea na kikwete anajua hivo na ndiomaana jana alikua makin kutotoa kauli inayoweza kuwaudhi madokta kama ile ya MBAYUWAYU, hata mimi namwamin atawatimizia labda kama atakua hana sense kabisa anaweza kuacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom