X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Eeh! Kumbe kiswahili kigumu hivi!Temea mate chini....Tarabaka Alla Hadha Min Fadhil Rabbi!
Eeh! Kumbe kiswahili kigumu hivi!Temea mate chini....Tarabaka Alla Hadha Min Fadhil Rabbi!
Hivi bujibuji kila mtu akileta sredi za namna hii itakuaje hapa JF??
na ndio maana sikila mtu analeta thread kama hizi hapa Jf. . . .
Licha ya kwamba hapa JF nafurahishwa na michango ya watu wengi lakini huyu jamaa ananitengenezea sana siku zangu.
Mungu akupe maisha marefu na mapepo wachafu wanaosababisha BAN wakutoke na wamuingie Malaria Sugu mara moja.
JF pana mambo
Temea mate chini....Tarabaka Alla Hadha Min Fadhil Rabbi!
Kina Mayuku, Zumo na kina Obi, Seba na Linda. Hadithi zilikuwa tamu sana zile
next time usitumie maneno ambayo hujui maana yake _KAFIRI wewe
next time usitumie maneno ambayo hujui maana yake _KAFIRI wewe
next time usitumie maneno ambayo hujui maana yake _KAFIRI wewe
tunaomba tafsiri washkaji
Crap....!Licha ya kwamba hapa JF nafurahishwa na michango ya watu wengi lakini huyu jamaa ananitengenezea sana siku zangu.
Mungu akupe maisha marefu na mapepo wachafu wanaosababisha BAN wakutoke na wamuingie Malaria Sugu mara moja.
Masa anachangamsha jamvi sana, ila anachangamsha zaidi anapopambana na nguvu za giza jamvini
kuna ubaya gani mtu akisema apendacho?Crap....!
kuna ubaya gani mtu akisema apendacho?
Wivu ndio unaowasumbua huyu na mwenzake mmoja hivi... ukitaka nikutajie ni PM
Jamani huyu si ndiye CHINO wa kwenye gazeti enzi zile za Mzee Mayuku