Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Kina Mayuku, Zumo na kina Obi, Seba na Linda. Hadithi zilikuwa tamu sana zile
Hahahahahaah haya Kamanda! tupo pamoja...
Masa anachangamsha jamvi sana, ila anachangamsha zaidi anapopambana na nguvu za giza jamvini
Licha ya kwamba hapa JF nafurahishwa na michango ya watu wengi lakini huyu jamaa ananitengenezea sana siku zangu.
Mungu akupe maisha marefu na mapepo wachafu wanaosababisha BAN wakutoke na wamuingie Malaria Sugu mara moja.
he... kumbe ligiNi kweli huwa ana mawazo mazuri lkn kwa upande wangu Mzee Mwanakijiji ni zaidi ya wote.
kwa hiyo unaweza kukukuta Masanilo (REv) ndo huyohuyo MS (teh teh teh)Kumbukeni huyu Rev ana IDs kama 18 hadi jana...!
Ila kuna muda majibu yake ka KofiA YA aVATar yake, Shikamooo BabuHahahahahaah haya Kamanda! tupo pamoja...
kwa hiyo unaweza kukukuta Masanilo (REv) ndo huyohuyo MS (teh teh teh)
Temea mate chini....Tarabaka Alla Hadha Min Fadhil Rabbi!
<br />hahahha!! rev hii ni kweli? natamani kujua hata id moja tu
Temea mate chini....Tarabaka Alla Hadha Min Fadhil Rabbi!
sikujua kuwa wewe ni SHEIKH MCHUNGAJI
Temea mate chini....Tarabaka Alla Hadha Min Fadhil Rabbi!
Ngoja nikusaidie 2 leo
Ukibisha zote zitachangia hapa!
- Azadirachta
- Fellow Tablet
Kaka naona unakwenda kinyume na imani yako...!Licha ya kwamba hapa JF nafurahishwa na michango ya watu wengi lakini huyu jamaa ananitengenezea sana siku zangu.
Mungu akupe maisha marefu na mapepo wachafu wanaosababisha BAN wakutoke na wamuingie Malaria Sugu mara moja.
Naona you are practice what you preach!nimekugongea thanks kwa sababu ya hapo kwenye red