Masoud Kipanya ni mtu bingwa sana, ‘independent’ na mfano wa kuigwa

Twin Tower

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
2,133
2,986
Achana na ile kirikuu yake , jamaa kwanza nampongeza kwa ule uthubutu.

Clouds wana bahati sana ya kuwa na mtu aina ya KP hasa kwenye kile kipindi chao cha ‘powerbreakfast’.

Huyu mwamba ukiachilia mbali zile katuni zake zenye kuleta ujumbe kitabu kwa kuzitazama na maneno machache.

Awapo radioni huwa yupo mbele ya muda, hakuna mada itapita bila kuichagiza kwa maswali magumu.

Nimeamua kuandika baada ya kumsikia leo asubuhi kuhusu NHIF na toto afya kuwa wanapokea michango ya 5bn lakini wao walitumia zaidi 30bn.

Alitania hivi ni kweli asprin, paracetamol, tetracyline ndizo zilitumia 30bn+. Kesho wataendelea na maswali juu ya NHIF na hayo matumizi.

Hiyo ni moja tu, lakini ndo yamekuwa maisha yake kutoa maneno mafupi yenye kuhoji kwa sauti.

Hakika KP wewe ni mtu bingwa sana. Mungu akupe maisha marefu.

Alamsiki JF.

1695175340180.jpeg

 
Achana na ile kirikuu yake , jamaa kwanza nampongeza kwa ule uthubutu.

Clouds wanabahati sana ya kuwa na mtu aina ya KP hasa kwenye kile kipindi chao cha ‘powerbreakfast’.

Huyu mwamba ukiachilia mbali zile katuni zake zenye kuleta ujumbe kitabu kwa kuzitazama na maneno machache.

Awapo radioni huwa yupo mbele ya muda, hakuna mada itapita bila kuichagiza kwa maswali magumu.

Nimeamua kuandika baada ya kumsikia leo asubuhi kuhusu NHIF na totoafya kuwa wanapokea michango ya 5bn lakini wao walitumia zaidi 30bn.

Alitania hivi ni kweli asprin, paracetamol, tetracyline ndizo zilitumia 30bn+. Kesho wataendelea na maswali juu ya NHIF na hayo matumizi.
Hiyo ni moja tu, lakni ndo yamekuwa maisha yake kutoa maneno mafupi yenye kuhoji kwa sauti.

Hakika KP wewe ni mtu bingwa sana. Mungu akupe maisha marefu.

Alamsiki JF.
KP yuko vizuri kichwani ukchek katuni alizokua anamchora mzee Mkapa utajua jamaa angesoma sana angesumbua
 
Achana na ile kirikuu yake , jamaa kwanza nampongeza kwa ule uthubutu.

Clouds wana bahati sana ya kuwa na mtu aina ya KP hasa kwenye kile kipindi chao cha ‘powerbreakfast’.

Huyu mwamba ukiachilia mbali zile katuni zake zenye kuleta ujumbe kitabu kwa kuzitazama na maneno machache.

Awapo radioni huwa yupo mbele ya muda, hakuna mada itapita bila kuichagiza kwa maswali magumu.

Nimeamua kuandika baada ya kumsikia leo asubuhi kuhusu NHIF na toto afya kuwa wanapokea michango ya 5bn lakini wao walitumia zaidi 30bn.

Alitania hivi ni kweli asprin, paracetamol, tetracyline ndizo zilitumia 30bn+. Kesho wataendelea na maswali juu ya NHIF na hayo matumizi.

Hiyo ni moja tu, lakini ndo yamekuwa maisha yake kutoa maneno mafupi yenye kuhoji kwa sauti.

Hakika KP wewe ni mtu bingwa sana. Mungu akupe maisha marefu.

Alamsiki JF.
NHIF nikiri wanafanya kazi nzuri sana sana ila wao kulalamika kuwa michango ya toto afya ni 5bn na matumizi ni 30bn inabidi tuwaulize je kitengo chao cha marketing kama kipo kimesajili watoto wangapi kupitia hio toto afya na Tanzania ina watoto wangapi na imefanya juhudi gani zaidi ya kusaka na kuhakikisha wanawafuata hao watoto wajiandikishe maana kama wanawasubiria ofisini siku zote watakuja kujiandikisha wale wenye wagonjwa na wenye matatizo ambao watatumia fedha za mfuko sana kwa wingi wazidishe kasi ya kusaka wanachama wapya wenye afya njema ili kudilute matumizi makubwa ikiwasubiria wanachama waje kuwafuata itawapata wanachama wagonjwa watakaotumia zaidi mfuko kabla ya kuuchangia kwa muda lakini pia wawekeze kwenye miradi yenye uhakika wa kuzalisha faida kubwa ili waweze kupata fedha za kujiendesha na kuwahudumia wanachama wake.
 
NHIF nikiri wanafanya kazi nzuri sana sana ila wao kulalamika kuwa michango ya toto afya ni 5bn na matumizi ni 30bn inabidi tuwaulize je kitengo chao cha marketing kama kipo kimesajili watoto wangapi kupitia hio toto afya na Tanzania ina watoto wangapi na imefanya juhudi gani zaidi ya kusaka na kuhakikisha wanawafuata hao watoto wajiandikishe maana kama wanawasubiria ofisini siku zote watakuja kujiandikisha wale wenye wagonjwa na wenye matatizo ambao watatumia fedha za mfuko sana kwa wingi wazidishe kasi ya kusaka wanachama wapya wenye afya njema ili kudilute matumizi makubwa ikiwasubiria wanachama waje kuwafuata itawapata wanachama wagonjwa watakaotumia zaidi mfuko kabla ya kuuchangia kwa muda lakini pia wawekeze kwenye miradi yenye uhakika wa kuzalisha faida kubwa ili waweze kupata fedha za kujiendesha na kuwahudumia wanachama wake.
NHIF isingeyunba tatizo upigaji watumishi wanalipana mishahara mikubwa mno.
 
Vijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.

Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
Kwamba ni kwa sababu alisoma Madrasa ndio maana anatoa ujumbe wenye kufikirisha?

Sidhani kama hilo ni kweli, kwa sababu ni wengi sana tunao wafahamu wamesoma Madrasa na bado hawana mfanano na Masoud!

Na isitoshe, kuna wengine wengi si wanaotokana na madrasa, lakini wako vizuri sana!!
 
Kwamba ni kwa sababu alisoma Madrasa ndio maana anatoa ujumbe wenye kufikirisha?

Sidhani kama hilo ni kweli, kwa sababu ni wengi sana tunao wafahamu wamesoma Madrasa na bado hawana mfanano na Masoud!

Na isitoshe, kuna wengine wengi si wanaotokana na madrasa, lakini wako vizuri sana!!
Kila kitu chake, mtu aliyetokea madrassa anakuwa na muono mrefu na mpana zaidi ya aliyekwenda shule pekee.
 
Back
Top Bottom