r.i.p prof shayo...huyu ni kati ya watanzania waliokuwa na akili sana na muumini wa kweli wa ujamaa...alikuwa rafiki na mfuasi mkubwa wa philosophy za mwalimu,naye pia alikuwa na philosophy zake[someni makala zake mwananchi zinabeba ujumbe yeye ni nani na anatetea nini...,alikuwa mtunzi mahiri wa sera vile vile,hakuwa muumini wa mali]
idea ya kuwa na kijiji cha sayansi na teknelojia ilikuwa ya mwalimu...na prof shayo alikuwa archtect wa ule mradi......aliweka kila kitu..na kuweka mikakati...
lengo la mradi wa kijiji cha sayansi na teknelojia ilikuwa kuchukuwa watoto wenye vipaji maalum tanzania na kote afrika [duniani]...na kuwalea tangu wanakuwa wadogo...katika mazingira ya kisomi...hadi chuo kikuu .nadhani mwalimu alikuwa anaota kuwa na vijana wanaoweza kuja kubuni NASA tanzania au hata kuajiriwa huko.
mradi ule ulikufa na mwalimu...mkienda pale tume ya sayanzi...na wizarani..wamebaki na maandishi ya prof shayo ,ramani etc....
cha kushangaza south africa wamekuja na idea kama ya mwalimu na prof shayo na inakata mbuga...na tayari wamepewa eneo arusha wajenge tawi...kitaitwa NELSON MANDELA ..ACADEMY....
HUYU MUHASHIMIWA ALIKUWA MWANASAYANSI..LAKINI PIA ALIKUWA NA AKILI ZA ZIADA ALIZOAMUA AZITUMIE KUAMCHA WATANZANIA ........SIASA ALIKUWA ANAFANYIA WITO AU HOBBY!!
Waberoya said:Kwangu mimi nina m-rate kama the most professor wa sayansi na hisabati aliyefanya vitu adimu, may be is the only one to date
KAMA KUNA PROFESSOR MWINGINE WA SAYANSI NA HISABATI ALIYEFIKIA RANK YA KUFANYA ALIYOYAFANYA SHAYO AJITOKEZE AU NIELEZWE!