bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 2,855
- 4,551
Ndugu wana JF nimeamua leo ni-rest in peace mapema, kwanini nimechukua uamuzi huu? Kwa sababu niliamka mapema sana, saa 11 asubui nikaenda mazoezini, halafu baadaye nikajiandaa kwenda kazini, kutokana na uchovu wa leo wa kuamka mapema na kufika kazini kukuta kazi nyingi za kampuni.
Nimefanya kwa juhudi kubwa na kuitumikia kampuni, sasa nimerudi nyumbani nikiwa nimechoka sana, hapa nimeoga, nimekula, sasa nimeamua ni rest in peace, nipumzike kwa amani!
Yaani nijipumzishe mapema tu ili kesho pia niamke mapema kuelekea kazini!
#RestInPeace
Nimefanya kwa juhudi kubwa na kuitumikia kampuni, sasa nimerudi nyumbani nikiwa nimechoka sana, hapa nimeoga, nimekula, sasa nimeamua ni rest in peace, nipumzike kwa amani!
Yaani nijipumzishe mapema tu ili kesho pia niamke mapema kuelekea kazini!
#RestInPeace