Rest In Peace Prof Leonard Shayo

Tumenufaika na mchango wako. Nakumbuka kitabu chako cha Advance Mathematics, tulikuwa tunakiita kwa jina lako - 'Shayo'.

RIP Prof Shayo.
 
Sote wa M/Mungu na kwake Tutarejea....M/Mungu amlipe kwa mema yake!!!..

Nilikuwa mmoja wa IVST student..its a good Idea lkn haikuweza ku-mature....
Mchango wake ktk vitabu ni wa kuigwa na walim au Prof. Wengine...

Kumsifia Marehemu ndio kinachotakia....na Kujitahidi kusahau Mabaya yake...Ikumbuke hapa anakumbukwa kama Mwalim wa Hesabu...Watu wa Siasa watamsifia kivyao!!!
Pole kwa Sister Faith Shayo...na nduguzo wengine...
 
OMG, Rest in Peace my dear Brother- In -Law. Its so hard to believe I won't see you again! I wish I was there to pay the last respect.To the family, Words seem indequate to express the sadness i feel about this loss. We just have to remember; When someone you LOVE becomes a memory, the memory becomes a TREASURE.
Poleni wote mlioguswa na msiba huu.
 
Huyo ni CCM nini,ni mbunge wa popote pale maana vifo vinawaandama nina wasiwasi wengine watajiuzulu kabla ya wakati.
Niliwahi kusema kama CCM watapukutika kama maembe wakati wa upepo.
Lakini watu mnajua kuchanganya mada hata pasipo na umuhimu. msiba wa huyu prof. na CCM wapi na wapi. wakati mwingine kama hujisikii kuchangia mada unyamaze. Huyu alikuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Makini na aligombea urais. Nadhani heading imekuchanganya ukadhani labda alikuwa mpiga debe wa CCM.

Hivi kweli unaweza kufikiria kwamba msiba utaangalia CCM tu!!!

Tafakari chukua
 
..yaani hata hajazikwa mmeshahamishia hii thread kwenye matangazo madogo madogo...huyu alikuwa mwanasiasa na mtaalamu geneous wa hisabati na kompyuta....he dont deserve this...angalau tungesubiri azikwe....GIVE RESPECT WHEN DUE!!!

NI MAONI TU...!
 
..yaani hata hajazikwa mmeshahamishia hii thread kwenye matangazo madogo madogo...huyu alikuwa mwanasiasa na mtaalamu geneous wa hisabati na kompyuta....he dont deserve this...angalau tungesubiri azikwe....GIVE RESPECT WHEN DUE!!!

NI MAONI TU...!

Nakuunga mkono Philemon , Inashangaza kuona ni vitu gani huwa vinapewa kipaumbele na watz, vitu kama UDAKU vinachukua muda sana kuhamishwa au kufungwa. I'ts all good, Taifa letu halijawahi kuipa elimu kipaumbele hivyo sishangai pale watu wasipowatambua wasomi hata wale wenye mchango unaonekana katika jamii yetu: ndio maana tupo hapa tulipo na tutaendelea kunyata badala ya kukimbia katika ulimwengu huu wa teknolojia.[/I]
 
Back
Top Bottom