Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
mada hii ni habari mchanganyiko au kwenye pongezi angekosea sana angeiweka kwenye celebrity. Ila habri mchanganyiko ndiko mahali pake.
Hivi hapa kuna hoja yeyote ya siasa? au Angalia hata comments 34 zilizopita kama kuna comment ina ideology yeyote sa siasa
teh teh teh
Nadhani kulikuwa na implied msg, mtoa hoja alitaka kumpongeza au kumuelezea Mh. Regia kutokana na nafasi yake kama mwanasiasa. Napingana na wazo kwamba ni celebrity. The mere fact kwamba ataenda kuchanganywa na Kanumba makes me shiver. Hapana Shy!! Kinachotakiwa kufanyika ni kuipanua hoja iwe 'Mh. Regia; mwanasiasa shupavu na hodari ambaye ni mfano wa kuigwa'. Hapo kwa kiasi fulani itaeleweka kwa nini hoja/mada yake ipo humu. Ni vizuri pia wanaomfahamu kama mwanasiasa wakatoa mchango wao kuonyesha uezo wake na pia kuchanganua mapungufu yake ili aweze kuyafanyia kazi na kuzidi kuwa bora. Ndio umuhimu wa jukwaa la siasa. Naamini kwamba hatufungwi na hoja za sera/itikadi peke yake. Na kwa leo tumechoka kufikiria Dowans na yanayohusiana nayo!! Angalau tumjadili yeye kwa mazuri!!
Jukwaa la siasa ni la wanasiasa!