Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Sikuwahi kumuona tofauti na avatar yake hapa jf!
Nimemfahamu kupitia jf,na nilipojua anagombea ubunge,....to me she was and still is a heroine!
Leo pale mabibo,nilitamani sana kumuona baada ya kujua atakuwepo pia!
Ilipofika mda wa zitto kumuita jukwaani nilishangazwa na swali alilo muuliza
"Utaweza kupanda hapa?" sikujua kwa nini,nilihisi labda kwa kuwa ni parefu sana!
Alipo panda na nikamuona,Sikuwahi kujua hali yake.
Kwa jinsi nilivo muona,.......REGIA MTEMA NI MWANAMKE JASIRI MWENYE UWEZO WA KUTHUBUTU NA NI MFANO WA KUIGWA KWA WAMAMA WOTE!
Added today 04/03/2011
"mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA kutoka mkoa wa Morogoro, Bi. Regia Mtema alijitolea kumchangia mlemavu huyo shilingi 100,000 kila mwezi kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia hiyo juzi."
1,200,000/= kwa mwaka!
Kutoa ni moyo sio utajiri,nashukuru kuwa naendelea kufahamu huyu dada ni kiongozi wa namna gani!
Big up again Regy
Nimemfahamu kupitia jf,na nilipojua anagombea ubunge,....to me she was and still is a heroine!
Leo pale mabibo,nilitamani sana kumuona baada ya kujua atakuwepo pia!
Ilipofika mda wa zitto kumuita jukwaani nilishangazwa na swali alilo muuliza
"Utaweza kupanda hapa?" sikujua kwa nini,nilihisi labda kwa kuwa ni parefu sana!
Alipo panda na nikamuona,Sikuwahi kujua hali yake.
Kwa jinsi nilivo muona,.......REGIA MTEMA NI MWANAMKE JASIRI MWENYE UWEZO WA KUTHUBUTU NA NI MFANO WA KUIGWA KWA WAMAMA WOTE!
Added today 04/03/2011
"mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA kutoka mkoa wa Morogoro, Bi. Regia Mtema alijitolea kumchangia mlemavu huyo shilingi 100,000 kila mwezi kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia hiyo juzi."
1,200,000/= kwa mwaka!
Kutoa ni moyo sio utajiri,nashukuru kuwa naendelea kufahamu huyu dada ni kiongozi wa namna gani!
Big up again Regy