Regia Mtema

Status
Not open for further replies.
Mh. Regia wengi mmemuelezea hapa na kuonyesha jinsi mnavyo mkubali. Nami namkubali vivyo hivyo na zaidi ya yote sijawahi kutana nae hata siku moja. Lakini kwa dhati kabisa huyu dada Mh. ndani ya wiki moja iliyopita amenipa msaada mkubwa sana kwa mzazi wangu tena kwa kutumia pesa zake kunifanyia huo msaada bila kujali kama ningeweza kumrudishia pesa zake au la!
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru kwa jambo ilo na hata nilipofanikiwa kuongea nae, nilimwambia asante kwa msaada huu mkubwa na Mungu amuongee zaidi na zaidi.
Mh. Regia asante sana kwa msaada na Mama yangu (kule Lindi) ameshukuru sana kwa huduma uliyomsaidia.
Nikifika Dar nitakuja Makao Makuu kuja kukusalimia.

She has a heart of giving too?
Tena hata kwa wasio wananchi wa jimbo lake maana tungesema anasaidia wampe kura lakini nop,hachagui!

God bless you regy,keep it up and have the heart of fearing God always and He will guide you
 
Kaka tuwahimize dada zetu kuwania ubunge wa kuchaguliwa hii habari ya viti maalum ni kuendeleza kuwafanya wajione duni.
Ukweli ni kwamba women can make very good leaders, baadhi ya wanawake wanaoonyesha udhaifu wa kiuongozi kama ilivyo ktk baraza la JK pengine ni kwa sababu nafasi wamezipata kama shukrani zaidi na sio uwezo.

Ukimsikiliza Jenister Mhagama (ingawa simjui sana) unaona umahili wa kuongoza ndani yake pengine tu yeye hajatoa ambacho wenzake hutoa ili kulipwa cheo.

Kwa sehemu kubwa wanawake ndio wameifikisha Tanzania ilipo sasa maana wao wameendelea kuwa wapiga kura wazuri lakini wakichagua mijibaba yenye uroho kama wa fisi si kwa mali za nchi tu bali uroho kwa wanawake pia.

Viongozi wenye uthubutu kama Regy wameonyesha njia (ingawa kura zilichakachuliwa).

Dada Regia watendee wana Kilombero kana kwamba wewe ni mbunge wao wa kuchaguliwa na Mungu ataendelea kukuinua

Nakubaliana nawe hapo kwenye red maana ni kweli wanawake wakiamua kufanya jambo wanalifanya kwa uhakika!
Katika kupiga kura wao ndo wanaongoza,na kwa uongozi pia pale wanapo tokea kuongoza wanakuwa viongozi shupavu kweli kweli!

Ni mda sasa wengi wajitokeze kwa ajili ya kuongoza pia sio kwa ajili ya kuchagua viongozi peke yake
 
Nawashukuru wote kwa comments zenu.Nimezipokea kwa mikono miwili.

Ila kwa bahati mbaya comments zote ziko upande wa positive tu,nahitaji pia na zile nyingine ili niumbike upya.I like both positive and negative criticism ili wakati mwingine nijue na mapungufu yangu.Naona wanaonifahamu wamefagia tu. Tunajengana.

Aluta Continua

I have one... umeadimika sana dada tangu uwe mbunge
 
nadhani mnataka kuwatoa KIRANGA na NYANI NGABU machimboni,

Heee! Hawa jamaa bado wako hai? Au kasma ya uchaguzi imekwisha na sasa wanaitwa vinginevyo!

Ni aibu eti ee! baada ya uchaguzi kuna majina yako pangoni bwana!
 
..hata mimi nimekuwa impressed sana na huyu dada.

..ninachomuomba tu aendeleze hizi sifa nzuri anazopewa hapa.

..kuhusu ulemavu, wapo walemavu wanafanya mambo makubwa kuliko sisi wengine tusio walemavu.

..nimekutana na walemavu waliobobea ktk taaluma zao, watu wenye kutegemewa mahala pao pa kazi.

..KWA UPANDE WA CHADEMA, NAWAOMBA WAWE WANAJENGA MAJUKWAA AMBAYO NI ACCESSIBLE NA NDUGU ZETU WALEMAVU. HII HABARI YA KUMUULIZA DADA REGIA KAMA ATAWEZA KUPANDA JUKWAANI NA IKOME MARA MOJA.
 
Nawashukuru wote kwa comments zenu.Nimezipokea kwa mikono miwili.

Ila kwa bahati mbaya comments zote ziko upande wa positive tu,nahitaji pia na zile nyingine ili niumbike upya.I like both positive and negative criticism ili wakati mwingine nijue na mapungufu yangu.Naona wanaonifahamu wamefagia tu. Tunajengana.

Aluta Continua

dada Regia salaam. Binafsi sina na sitegemei kuwa na negative comment mpaka hapo utakapokuwa umeshindwa kutukomboa watanzania. Pambana uwezavyo kulinda raslimali za Tanzania,sisi watoto wa mkulima tunahitaji watu kama wewe. Narudia bado sina sababu ya kukukoroa mpaka hapo utakapousaliti umma.
 
Mh. Regia wengi mmemuelezea hapa na kuonyesha jinsi mnavyo mkubali. Nami namkubali vivyo hivyo na zaidi ya yote sijawahi kutana nae hata siku moja. Lakini kwa dhati kabisa huyu dada Mh. ndani ya wiki moja iliyopita amenipa msaada mkubwa sana kwa mzazi wangu tena kwa kutumia pesa zake kunifanyia huo msaada bila kujali kama ningeweza kumrudishia pesa zake au la!
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru kwa jambo ilo na hata nilipofanikiwa kuongea nae, nilimwambia asante kwa msaada huu mkubwa na Mungu amuongee zaidi na zaidi.
Mh. Regia asante sana kwa msaada na Mama yangu (kule Lindi) ameshukuru sana kwa huduma uliyomsaidia.
Nikifika Dar nitakuja Makao Makuu kuja kukusalimia.

This is amazing....Kama kawaida yake,kumbe hata kwa asiowafahamu.Ngoja nami nifuate nyayo zake.
 
Mada yako haihusiani na siasa peleka kwenye jukwaa husika

Shy bado haujakua? Nilihisi baada ya usaidizi wa dada na kukufanya IT and Digital Konsalitanti ungebadilika kidogo! Shame!?

Kule kwenye blogi ndiyo unajiita FriendsOfSlaa! kha! Now I can understand You can take an African from the Bush.. But?
 
Keep it up Regia,you are a reflection of how good leaders should be
 
This is amazing....Kama kawaida yake,kumbe hata kwa asiowafahamu.Ngoja nami nifuate nyayo zake.

Sure FL,i respect women sana na naamini kwa kila wanacho kisimamia kinatekelezeka kwa uhakika,wakiamua kufanya mema ni ya kupendeza na kwa kiwango cha juu,na upande mwingine ni valid pia (wanaume hufanya mambo yao in a shallow way)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom