Regia Mtema

Status
Not open for further replies.
Nawashukuru wote kwa comments zenu.Nimezipokea kwa mikono miwili.

Ila kwa bahati mbaya comments zote ziko upande wa positive tu,nahitaji pia na zile nyingine ili niumbike upya.I like both positive and negative criticism ili wakati mwingine nijue na mapungufu yangu
.Naona wanaonifahamu wamefagia tu. Tunajengana.

Aluta Continua

Kama utakuwa unakubali criticism na kuboresha pale kwenye mapungufu, utakuwa ni mwanasiasa na kiongozi bora, usiingie katika siasa za hisia na misifa kama wanawake wenzako walivyopotea.
 
Nawashukuru wote kwa comments zenu.Nimezipokea kwa mikono miwili.

Ila kwa bahati mbaya comments zote ziko upande wa positive tu,nahitaji pia na zile nyingine ili niumbike upya.I like both positive and negative criticism ili wakati mwingine nijue na mapungufu yangu.Naona wanaonifahamu wamefagia tu. Tunajengana.

Aluta Continua

you are so lovely.
 
anza best, halafu anzia kwa uwiano maalum maana naona anataka kumaliza hewa.

What?

kaka usiwakatishe tamaa,hizo kila mtu huwa nazo ila huwa zinatumika vibaya na mpinzani wako akiishiwa hoja na sera
mahusiano ni dept nyingine kabisa
unakumbuka ya akina Zuma ,clinton na wengineo?

Hao uliwataja ni wanaume, taja wanawake wenye kashfa za ngono walio madarakani.

Ninawaambia wanaJF wa kike, anayetaka kugombea ajihakikishe ni msafi kingono, 2015 kampeni zitajikita kwenye hilo. Tunataka viongozi waadilifu, wake kwa waume. Unajijua si muadilifu jiweke kando kabla hakujakucha.
 
Nawashukuru wote kwa comments zenu.Nimezipokea kwa mikono miwili.

Ila kwa bahati mbaya comments zote ziko upande wa positive tu,nahitaji pia na zile nyingine ili niumbike upya.I like both positive and negative criticism ili wakati mwingine nijue na mapungufu yangu.Naona wanaonifahamu wamefagia tu. Tunajengana.

Aluta Continua

Hongera mwaya...
 

Join DateThu Nov 2006
Posts4,639
Thanks0
Thanked 366 Times in 194 Posts
Una roho mbaya wewe!
Yani toka 2006 huja wahi kushukuru mtu hata mmoja kwa lolote lile????ops

hahahhaha... kwa kifupi hamjawahi "kumgusa", sa sijui bado anafanya nini humu jamvini... yani roho kama ya kutu... utakuta basi kakondeanaaaa....maskini...
 
Shy ni aina ya watu waliokata tamaa kutokana na ukosefu wa utimilifu wa ndoto zao...ni aina ya wale watu wanaoishi maisha ya kufikirika...the guy is simply miserable!

Hahahaha....kwikwikwikwi...hihihihihihi....
 
Regia ni kweli kabisa, katuaibisha hata sisi watani wake wa Sikonge.

Matola, kama wewe si MTANI wa Wanyamwezi, basi hili hata halikuhusu na hutakiwi kuelewa. Ungelikuwa unaelewa utani wa JADI basi utakuwa umeelewa nini kinaendelea. Utani una Story ndefu sana na kama huelewi basi muulize Mzee yoyote karibu yako unapoishi maana na asili ya Utani wa makabila.

Hapo kwenye RED nimejitahidi kusoma na kurudia mara kumi, lakini sijaelewa kitu, labda mimi nina matatizo au wewe ndio tatizo zaidi. nitashukuru kama nitapata ufafanuzi.
 
hahahhaha... kwa kifupi hamjawahi "kumgusa", sa sijui bado anafanya nini humu jamvini... yani roho kama ya kutu... utakuta basi kakondeanaaaa....maskini...

hahahaha,umenifurahisha sana hap0,yani jamaa inaonekana hana shukrani kabisaaa toka 2006 hajatoa "thanks" hata moja?
 
Nawashukuru wote kwa comments zenu.Nimezipokea kwa mikono miwili.

Ila kwa bahati mbaya comments zote ziko upande wa positive tu,nahitaji pia na zile nyingine ili niumbike upya.I like both positive and negative criticism ili wakati mwingine nijue na mapungufu yangu.Naona wanaonifahamu wamefagia tu. Tunajengana.

Aluta Continua

Kiranga anatafutwa kwa negative critics...
 
Regia,
Mimi nasubiri kuona yale utakayoyasimamia kwa nguvu na akili zako zote utakapokuwa Bungeni kuanzia hiyo tarehe 8 mwezi ujao kwa manufaa ya Taifa hili. Moja kati ya yanayonikera sana ni ukubwa wa BUNGE letu ambalo linatugharimu walipa kodi wa NCHI hii kuliendesha na manufaa yake siyaoni! Bahati mbaya ni kwamba Bunge hili linazidi kupanuka sio kwa mahitaji ya DEMOCRASIA au UWAKILISHI, bali kwa kutafutiana ajira tu. Tafadhali angalia jinsi ya kulishughulikia hili na hasa yafuatayo:
-Tuondoe VITI MAALUM
-Tuondoe VITI 10 vya RAIS
-Tupunguze MAJIMBO. Kila Halmashauri/Manispaa/Mji iwe na Mbunge mmoja tu.
 
Regia,
Mimi nasubiri kuona yale utakayoyasimamia kwa nguvu na akili zako zote utakapokuwa Bungeni kuanzia hiyo tarehe 8 mwezi ujao kwa manufaa ya Taifa hili. Moja kati ya yanayonikera sana ni ukubwa wa BUNGE letu ambalo linatugharimu walipa kodi wa NCHI hii kuliendesha na manufaa yake siyaoni! Bahati mbaya ni kwamba Bunge hili linazidi kupanuka sio kwa mahitaji ya DEMOCRASIA au UWAKILISHI, bali kwa kutafutiana ajira tu. Tafadhali angalia jinsi ya kulishughulikia hili na hasa yafuatayo:
-Tuondoe VITI MAALUM
-Tuondoe VITI 10 vya RAIS
-Tupunguze MAJIMBO. Kila Halmashauri/Manispaa/Mji iwe na Mbunge mmoja tu.

Hivi kweli tuna ulazima wa kuwa na wabunge wengi hivi toka zanzibar kaatika bunge la JMT?
 
Hivi kweli tuna ulazima wa kuwa na wabunge wengi hivi toka zanzibar kaatika bunge la JMT?

Tukipunguza majimbo, Zanzibar itabaki na majimbo machache sana. Sasa hivi kila jimbo la Zanzibar lina Wabunge wawili. Mbali na hao kuna Wawakilishi watano wanateuliwa kuja Bunge la Muungano!
 
Akina dada mnapaswa kuiga moyo na ujasiri wa mh mbunge Regia

Nina imani wale wadada machachari na cv zao humu waliopo ndani na nje ya nchi hii wakijitokeza kuwania ubunge wa kuchaguliuwa na hata viti maalum nina hakikia watashinda kwa 100%


Kaka tuwahimize dada zetu kuwania ubunge wa kuchaguliwa hii habari ya viti maalum ni kuendeleza kuwafanya wajione duni.
Ukweli ni kwamba women can make very good leaders, baadhi ya wanawake wanaoonyesha udhaifu wa kiuongozi kama ilivyo ktk baraza la JK pengine ni kwa sababu nafasi wamezipata kama shukrani zaidi na sio uwezo.

Ukimsikiliza Jenister Mhagama (ingawa simjui sana) unaona umahili wa kuongoza ndani yake pengine tu yeye hajatoa ambacho wenzake hutoa ili kulipwa cheo.

Kwa sehemu kubwa wanawake ndio wameifikisha Tanzania ilipo sasa maana wao wameendelea kuwa wapiga kura wazuri lakini wakichagua mijibaba yenye uroho kama wa fisi si kwa mali za nchi tu bali uroho kwa wanawake pia.

Viongozi wenye uthubutu kama Regy wameonyesha njia (ingawa kura zilichakachuliwa).

Dada Regia watendee wana Kilombero kana kwamba wewe ni mbunge wao wa kuchaguliwa na Mungu ataendelea kukuinua
 
Mh. Regia wengi mmemuelezea hapa na kuonyesha jinsi mnavyo mkubali. Nami namkubali vivyo hivyo na zaidi ya yote sijawahi kutana nae hata siku moja. Lakini kwa dhati kabisa huyu dada Mh. ndani ya wiki moja iliyopita amenipa msaada mkubwa sana kwa mzazi wangu tena kwa kutumia pesa zake kunifanyia huo msaada bila kujali kama ningeweza kumrudishia pesa zake au la!
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru kwa jambo ilo na hata nilipofanikiwa kuongea nae, nilimwambia asante kwa msaada huu mkubwa na Mungu amuongee zaidi na zaidi.
Mh. Regia asante sana kwa msaada na Mama yangu (kule Lindi) ameshukuru sana kwa huduma uliyomsaidia.
Nikifika Dar nitakuja Makao Makuu kuja kukusalimia.
 
Sikuwahi kumuona tofauti na avatar yake hapa jf!
Nimemfahamu kupitia jf,na nilipojua anagombea ubunge,....to me she was and still is a hero!

Leo pale mabibo,nilitamani sana kumuona baada ya kujua atakuwepo pia!
Ilipofika mda wa zitto kumuita jukwaani nilishangazwa na swali alilo muuliza
"Utaweza kupanda hapa?" sikujua kwa nini,nilihisi labda kwa kuwa ni parefu sana!

Alipo panda na nikamuona,Sikuwahi kujua hali yake.
Kwa jinsi nilivo muona,.......REGIA MTEMA NI MWANAMKE JASIRI MWENYE UWEZO WA KUTHUBUTU NA NI MFANO WA KUIGWA KWA WAMAMA WOTE!

Am proud of you Regy....
Akina mama wa CHADEMA mko juu kama ndege ya Obama!!! Uwezo Mnao sana tu katika kulinda heshima, utu na maendeleo ya akina mama wote nchini Tanzania bila ubaguzi wala hiyana!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom