Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Imenitokea kwamba binafsi namwamini sana Regia.
Sijawahi kukutana nae ana kwa ana, lakini nimeongea nae kwa simu mara kadha na kumwona kwenye kampeni kupitia tv na clips za you-tube jf. Ni dada ambae yuko committed sn na haamini ktk kushindwa.
Kama ataretain msimamo alio nao basi yeye ni potential ya pekee sn kwa cdm,makundi yote ya jamii, na taifa kwa jumla.
Mungu ambariki sana.
Ni kiongozi shupavu na anao uwezo! Ni msikivu na mwenye kujifunza daima. Ni hazina kwa CDM na taifa!