Redio imani: Tcu imewekwa kudhoofisha uislamu

Nadhani wakati umefika Waislam wapewe nchi yao. Waishi wenyewe kabisa kama Somalia au Afghanista au hata Yemen. Hili linawezekana kwama Wakristu na Waislam wakiwa na nia ya dhati ya kufanya hilo. Hata kule India mwaka 1947 Waislam walitaka nchi yao na Wakapewa nchi ya Pakistan na Bangladesh na Wanaishi kwa amani tele huko peke yao bila bughudha.

Nashauri kama inawezekana Waislam na Wakristu wagawane hii nchi ili uepusha Nigeria nyingine. Iliwezekana Pakistan na India, iliwezekana Cyprus, iliwezekana Turkey na Greece walipobadilishana raia kwa kufuta dini zao(Wakristu wakaenda Greece na Waislam Wakaenda Turkey) na naimani itawezekana Kupata nchi ya Waislam na Wakristu hapa Tanzania.
 
Ungeweka kiuwazi zaidi, ili tuweze kutoa mawazo yetu, pamoja hilo, hicho kituo cha radio hakiwezi kuonywa au kufungiwa ila mwanahalisi ni rahisi. Uchochezi huo ni HATARI sana.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Si hayo tu ila wanasema leo wanaomboleza kwa yale mabaya aliyo wafanyia Nyerere, wala hawaoni haja ya kuadhimisha. na mwislamu yeyote atakaye mkumbuka Nyerere kwa lolote atakuwa anafanya kufuru kwa Allah!
 
Hao jamaa naona hapa JF mnawapa airtime sana...tumechoka jamani kujadili akili ndogo
 
Ha2jafikia huko ila inaonyesha hao wanaofanya fujo wame2mwa serikali iwatafute hao viongozi wao iwachukulie ha2a
 
Hao masheikh wana elimu gani? Nadhani watakuwa std 4,7 plus Elimu Ahera.

TCU iko pale kisheria,wenye sifa ndio wanapata nafasi kujiunga na elimu ya juu,imagine toto lako unalipeleka madrasa unategemea nini??
 
Hao masheikh wana elimu gani? Nadhani watakuwa std 4,7 plus Elimu Ahera.

TCU iko pale kisheria,wenye sifa ndio wanapata nafasi kujiunga na elimu ya juu,imagine toto lako unalipeleka madrasa unategemea nini??

Hivi na ww unaweza kujiita msomi kwa kuridhika na heading tu? Ama kweli nyani haoni kundule unajua kilichozungumzwa ndani yake? Siyo nyie wenyewe mlioanza kuiponda tcu kuwapeleka watu course wasiochagua na maovu yao kibao au kunya anye kuku akinya bata.......!!! Kisa aliyewaponda ni muislamu ndiyo iwe tabu
 
Si hayo tu ila wanasema leo wanaomboleza kwa yale mabaya aliyo wafanyia Nyerere, wala hawaoni haja ya kuadhimisha. na mwislamu yeyote atakaye mkumbuka Nyerere kwa lolote atakuwa anafanya kufuru kwa Allah!

Huyo Allah sasa,,! sijui
 
Wana inferiority complex. Tuwabebe tu maana tukishindana nao TZ hapatatosha. Nawasikitia sana kwa uwezo mdogo wa kupambanua mambo.
 
Hao masheikh wana elimu gani? Nadhani watakuwa std 4,7 plus Elimu Ahera.

TCU iko pale kisheria,wenye sifa ndio wanapata nafasi kujiunga na elimu ya juu,imagine toto lako unalipeleka madrasa unategemea nini??
Hapo kwenye rangi nyekundu paangalie vizuri,kisha tafakari yafuatayo.
Avata yako inavutia kweli!kwanza umeliita toto inaonesha watoto wasomao Madrasa huwapendi kabisa ila unawapenda watoto wa kidato cha pili wanaokojolea misahafu ambayo huchochea uvunjifu wa amani kule Mbagala,Labda nikusaidie akihitimu madrasa atakwenda Udom kusomea Bachelor of Arabic na huo ni mfano tu vipo vyuo vingi tu duniani vinavyotambua elimu ya madrasa na katika Combination kama ulikuwa hujui kuna kombi inaitwa KIA(kiswahili,Islamic na Arabic) ambayo husomewa madrasa kisha unakwenda kufanya bachela huko unakojua.
 
Kwa kweli sasa ni hatari tupu hapa Tanzania. Dini inahusishwa na mambo ya kitaalam. Kwa hiyo siku hizi serikari ya Tanzania, kuanzia rais na watendaji wote wa serikali wanatumia misuli yao yote kuukandamiza uislamu? Kama hujaridhika na huduma yoyote inayotolewa lazima usingizie kuwa lengo ni kudhoofisha uislamu? Dini ni nyingi na madhehebu ni mengi hapa Tanzania, na kwamba kila mtu angekuwa ana amua tu kutumia chombo cha habari kusema mabaya ya taasisi zetu akihusisha na dini yake pasingetosha. Nchi hii ni ya watanzania wote bila kujali dini zao, makabila yao na jinsi zao. Hivi matatizo na machungu ya maisha wanayopata watu wenye ulemavu nayo yangesemwa kwa style ya udini ingekuwaje? kwa kuwa kila taasisi(zikiwemo na hizo za dini) zinavyowatenga watu wenye ulemavu mashitaka yao wangepeleka wapi? Tuchambue mada kwa ustaarabu. Issues za dini huwa hazina muafaka.
 
Hao masheikh wana elimu gani? Nadhani watakuwa std 4,7 plus Elimu Ahera.

TCU iko pale kisheria,wenye sifa ndio wanapata nafasi kujiunga na elimu ya juu,imagine toto lako unalipeleka madrasa unategemea nini??

mapadre wenye degree ndo wameelimika kubaka na kubeba wake za watu????
 
Hao masheikh wana elimu gani? Nadhani watakuwa std 4,7 plus Elimu Ahera.

TCU iko pale kisheria,wenye sifa ndio wanapata nafasi kujiunga na elimu ya juu,imagine toto lako unalipeleka madrasa unategemea nini??
mapadre wenye madegree ndo wameelimika kwa kubaka,kulawiti na kuwalala wake za watu
 
Jaman ndugu zangu, heb wote tutafakar kwa umakini jinsi ambavyo tumekua tukiishi vizuri na kwa amani na upendo siku zote bila kujali wewe ni Juma au wewe ni Joseph, nini furaha ya kutaka kuingia huku tnapotaka kwenda, ck zote najiuliza, KWANINI WANAOLALAMIKA KUONEWA SIKU ZOTE NI WAISLAM? wakristu wenye madheheb yaliyo mengi mbona hawalalamiki kuonewa? hebu tufikirie vyema ndugu zangu ndipo tuamue.
 
Back
Top Bottom