Michael Bosco
Member
- Jan 10, 2010
- 85
- 47
hapo umenena kwa hili swala tuache vigezo na masharti kuzingatiwaJaman ndugu zangu, heb wote tutafakar kwa umakini jinsi ambavyo tumekua tukiishi vizuri na kwa amani na upendo siku zote bila kujali wewe ni Juma au wewe ni Joseph, nini furaha ya kutaka kuingia huku tnapotaka kwenda, ck zote najiuliza, KWANINI WANAOLALAMIKA KUONEWA SIKU ZOTE NI WAISLAM? wakristu wenye madheheb yaliyo mengi mbona hawalalamiki kuonewa? hebu tufikirie vyema ndugu zangu ndipo tuamue.