Redio imani: Tcu imewekwa kudhoofisha uislamu

Jaman ndugu zangu, heb wote tutafakar kwa umakini jinsi ambavyo tumekua tukiishi vizuri na kwa amani na upendo siku zote bila kujali wewe ni Juma au wewe ni Joseph, nini furaha ya kutaka kuingia huku tnapotaka kwenda, ck zote najiuliza, KWANINI WANAOLALAMIKA KUONEWA SIKU ZOTE NI WAISLAM? wakristu wenye madheheb yaliyo mengi mbona hawalalamiki kuonewa? hebu tufikirie vyema ndugu zangu ndipo tuamue.
hapo umenena kwa hili swala tuache vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Jaman ndugu zangu, heb wote tutafakar kwa umakini jinsi ambavyo tumekua tukiishi vizuri na kwa amani na upendo siku zote bila kujali wewe ni Juma au wewe ni Joseph, nini furaha ya kutaka kuingia huku tnapotaka kwenda, ck zote najiuliza, KWANINI WANAOLALAMIKA KUONEWA SIKU ZOTE NI WAISLAM? wakristu wenye madheheb yaliyo mengi mbona hawalalamiki kuonewa? hebu tufikirie vyema ndugu zangu ndipo tuamue.

TAmaaa ya kuiingiza TANZANIA katika RELIGIOU STATE ndio sababu haswaa ya kufanya yote hayo kuna baadhi ya dini ambao wanadhani ni superior than any other na wamezaliwa kuitawala dunia na wapo tayari kufanya lolote lile kahakikisha wanaitawala dunia kwa SHARIA kitu ambacho ni kinyume na haki za binaadam na haswa haki ya kuabudu na sasa wanajaribu kutimiza adhma yao kwa kufanya uchochezi ili waogopwe na matakwa yao kukubaliwa na serikali LAKINI KAMWE HILO HALIWEZEKANI.................MUNGU NI MMOJA NA NI MUNGU WA WOTE LAKINI KIAMA KIPO KWA WALIO WABABE WA BUNIA HII
 
Hawa mashehk ubwabwa hata kuongea Engl dk 5 jasho linawatoka. Kazi kuongea kiarabu na kula tende na kupiga majungu misikitin
 
Duh!nashangaaga sisi wanatuita makafiri lkn tupo kimya ila wewe jaribu kuwaita makafiri uone chamoto hata huwa siwaelewi kabisa.
 
Heshimu imani ya mwenzio nawe yako itaheshimiwa...,.
Msomi hutoa njia za kutatua matatizo sio matusi.....guyz kama huwezi kutoa comment ya kusaidia please kaa kimya...hili si jambo la mchezo.
 
Nadhani wakati umefika Waislam wapewe nchi yao. Waishi wenyewe kabisa kama Somalia au Afghanista au hata Yemen. Hili linawezekana kwama Wakristu na Waislam wakiwa na nia ya dhati ya kufanya hilo. Hata kule India mwaka 1947 Waislam walitaka nchi yao na Wakapewa nchi ya Pakistan na Bangladesh na Wanaishi kwa amani tele huko peke yao bila bughudha.

Nashauri kama inawezekana Waislam na Wakristu wagawane hii nchi ili uepusha Nigeria nyingine. Iliwezekana Pakistan na India, iliwezekana Cyprus, iliwezekana Turkey na Greece walipobadilishana raia kwa kufuta dini zao(Wakristu wakaenda Greece na Waislam Wakaenda Turkey) na naimani itawezekana Kupata nchi ya Waislam na Wakristu hapa Tanzania.
tatizo watataka zle potentia zote zwe upande wao yaan kama Dar na kanda ya ziwa kote wamiliki wao then wakristu wapewe may be nyanda za juu kusini TU. umeona hatari yake tatzo ni kwamba wao wanataka utawala wa dunia.....!!!!!!!!!!!!!!!1
 
mimi redio imani inaniboa inapo endesha vipindi vya mijadala.yaani watoa mada level yao ya kufikiri inashangaza sana kwa ujumla wake.ila ifahamike kwaba redio ile ni ya taasisi flani kwa hiyo inakuwa na 'infuluence" kulingana na fikra za mmiliki.kuhusu kuifungia,suala hilo linahitaji hekma kubwa kwa sababu nyuma yake kuna watu flani.
 
Back
Top Bottom