Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
Leo nimesikia kwamba redio imaan likiwaambia waandishi wa gazeti la Mtanzania kuacha kupotosha kesi ya Ponda mahakamani
Wamedai gazeti hilo toleo la leo wamepotosha kwa kiasi kikubwa.
TAARIFA YA HABARI YAO:
Wamesema BAKWATA imekiri kwamba hawakuwashirikisha waislam watz, lkn hata hicho kiwanja walichopewa hawajawahi kukiona kabisa tofauti na gazeti hilo lilivyopotosha
Wamedai gazeti hilo toleo la leo wamepotosha kwa kiasi kikubwa.
TAARIFA YA HABARI YAO:
Wamesema BAKWATA imekiri kwamba hawakuwashirikisha waislam watz, lkn hata hicho kiwanja walichopewa hawajawahi kukiona kabisa tofauti na gazeti hilo lilivyopotosha