redio imaan, faraja kwa umma.
Redio imaan, faraja kwa waislam wakweli.
Redio imaan, faraja kwa waumini.
Wasioipenda, wana chuki na waislam na uislam.
Atakalo mola kuwa ndio linalokuwa.(kun faya kun)
kamwe hamtaweza kuondosha neema za allah kwa waumin.
Kumbe usipowasikiliza Punguani unahesabika kuwa uko sawa na punda? Kweli akili ni nywele ..Punda hata ukimbebesha kreti ya soda na keki hawezi kuchukua soda wakeki ale hatama ananjaa kwahiyo wote msio sikiliza radio hii ni sawa na punda hamjui thamani ya hii radio au kwasababu haipigibongo flava
WORD....!!! Mambo yetu ( Waislam) tuachieni wenyewe!
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
.Sielewi kwa nini Pro-Chadema JF wanatumia nguvu nyingi kupambana na Waislam.
Chadema pambaneni na CCM sio Waislam mtazidi kujimaliza.
Hiyo ndio redio pekee inayoongea ukweli bila kujikombakomba.mtu mwenye imani haba na kafiri ndio ataikosoa kwa vile haiko kidunia zaidi ipo kiimani zaidi
Hiyo ndio redio pekee inayoongea ukweli bila kujikombakomba.mtu mwenye imani haba na kafiri ndio ataikosoa kwa vile haiko kidunia zaidi ipo kiimani zaidi
"religion is an opium of the poor" - karl marx
sikuzote kujiona wewe ,ni mkweli huku jamii ikikuona una dosari lkn hutaki kuzikiri hizo dosari, utakuwa mchonganishi na usiyependa AMANI, unadhani nini? kinachotokea SOMALIA ni kujifanya wakweli, ni halali waislaam kuuwana, wao wenyewe kwa wenyewe, taifa gani? la kiislam lililosimama na kuvikemea vikundi vya mauaji Somalia, au lini? umeona maandamano hapa Tanzania ya waislam kupinga waislamu wenzao, wanavyopata madhila ya kuuwawa huko Somalia, Uganda na Kenya ,Burundi zimeingilia mgogoro ule Taifa gani? la kiislam lililopongeza waziwazi.lkn mimi ninalo jibu ili Somalia iwe na amani iruhusu UKRISTO uhubiriwe sanjari na uislam amani itapatikana lkn ikibaki radio IMAAN pekee katika anga la habari Tanzania ,shari lazima itokee. lkn hivi sasa radio kibao inasaidia saana.huo unaouita ukweli unabaki kwa wale waislam mfano wa Ponda lkn wale wengi waislam wa kweli wanabaki BAKWATA wakiishi kwa amani na upendo kwa wafuasi wa dini zingine ambazo hata mtume alizipenda.Hii radio huwa wakweli na huwa hawapepesi macho kwenye kusema ukweli kwa weledi wa taaluma yao. Siku zote ukweli huuma , ila ni radio ya mfano wakuigwa.
Naona hili wanalisahau halafu wanakomalia kuwa BAKWATA wana makosa kuuza kiwanja. Wanasahau kuwa wameshtakiwa kwa kosa la kuvunja ukuta na kuiba mali, na wala si kwa kosa la kusema BAKWATA hawakuwa sahihi kuuza!... Hata kama BAKWATA wana makosa, hayahalalishi Ponda kufanya makosa aliyoyafanya. Hooliganism ni crime.
.
Siamini kuwa uko hapa kupambana na ukristo bali upo kujenga hoja.
Kama chadema ni chama cha kidini kitajimaliza chenyewe. Watanzania watakifuta kwenye uchaguzi hofu ya nini?
Kama chadema ni chama cha kidini kwa nini hakifutwi? katiba iko wazi kwa hili. Hii ni kazi ya dola.
Maskini Ponda anatia huruma! kaachwa peke yake! huu ni unafiki wa hali ya juu! chezea mfumo kristo! ooooh mama!
Sielewi kwa nini Pro-Chadema JF wanatumia nguvu nyingi kupambana na Waislam.
Chadema pambaneni na CCM sio Waislam mtazidi kujimaliza.
Chadema inapambana na wahuni, wezi, waleta fujo nk. Sasa kama Waislam wanafanya mambo hayo we are sorry, Chadema wont tolerate hooliganism kwenye jamiiWapi nimesema Chadema ni chama cha kidini unaweza kunionyesha?
Ninachohoji hapa kwa nini Pro-Chadema JF wanapambana na Waislam badala ya kupambana CCM.