Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
............Yeye mwenyewe yuko wapi !?........itikadi zake ziko wapi !? ..........zimefanikiwa wapi !?
Sema: (Muhammad kuwaambia makafiri) .....mwaonaje Mwenyezi Mungu akanyakua kusikia kwenu, na kuona kwenu, na akaziziba nyoyo zenu, ni mungu gani asiyekuwa Mwenyezi Mungu atakaye kuleteeni hayo tena ? Angalia vipi tunavyo zieleza Ishara, kisha wao wanapuuza ! Qur'an: 6:46.
" Na waliokanusha ishara zetu ni viziwi na mabubu waliomo kizani. Mwenyezi Mungu hamwachi kupotea amtakaye, na humweka kwenye njia iliyonyooka amtakaye" Qur'an: 6:39.
Sema: (ewe Muhammad kuwaambia hao makafiri) .....tembeeni ulimwenguni, kisha mtazame ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha. Qur'an: 6:11.
In short Ponda ni mhalifu. Siamini kama aliyoyafanya ni maagizo ya Allah wenu maana siamini pia kama Allah wenu ni Mhalifu