peoooooooooooplez!ratiba imekaa vizuri,ila taarifa,jimbo la LUSINDE na MWIGULU NCHEMBA yafanyiwe kazi kwa kina,ni waropokaji na wanaukoo na shetani kwa MATUSI TU,Tuone sasa waende waitishe mikutano wajibu hoja majimboni mwao kwa matusi,mbele ya wazazi wao na ndugu zao nao wawajue ujinga wao,pliz KAMANDA MBOWE fanyia kazi ombi langu!