Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,718
218,265
Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.

Usiondoke JF.

Screenshot_2024-02-27-10-47-54-1.png
Screenshot_2024-02-27-10-49-44-1.png

Screenshot_2024-02-27-13-04-30-1.png
Screenshot_2024-02-27-12-54-01-1.png
Screenshot_2024-02-27-12-54-29-1.png
Screenshot_2024-02-27-12-53-34-1.png

Screenshot_2024-02-27-14-55-28-1.png
Lissu kazini

Screenshot_2024-02-27-15-33-51-1.png

=======

Viwanja vya reli vimejaa kabisa na hakuna nafasi tena , Kama umechelewa simama hapo hapo ulipo au rudi nyumbani , tafadhari sana

Screenshot_2024-02-27-16-10-01-1.png
 
Hapa Tanapa ni manyimbo ya Ukombozi nyomi inatiririka kama siafu watu wa DukaMbovu tupo hapa Mzuka mzuka...
Tuache utani hili chama limo mioyoni mwa watu..

Kuna watu wamepora msiba ila kokoro la mafuriko linakwenda kusomba wote na kutapika kwenye viwanja vya relini ...mzuka ni mkubwa sana hapa...nalile goma la Chadema Chadema pipzpowa

Jombaa hainambishi babalakee maharakati chaliiakee kwa Madiba na maminyororo

Chadema ina nguvu hatari Msibani ulioporwa watu wachache sana
 
Back
Top Bottom