Naam tutajuta sana nchi itazidi kwenda mrama kwa maamuzi ya kukurupuka na ya kifisadi.
Serikali inapata hasara ya mamilioni ngapi kwa cku kwa ufisadi wa Maghufuli kuuza nyumba za serikali?
Mbinafsi mkubwa. Mtendaji lakini ana mapungufu mengi. tutajuta akiwa Rais.