- Thread starter
- #101
Aiseee wewe jamaa ni hatari,pia kuna jamaa anaitwa Pasco na Maswi mmetabiri vyema kabisa
Asante sana mkuu.
Aiseee wewe jamaa ni hatari,pia kuna jamaa anaitwa Pasco na Maswi mmetabiri vyema kabisa
Ndio mjue TB JUSHUA na Gwajima matapeli tu. TB JUSHUA ana kesi ya kujibu kwa jumba lake lililoporomoka na kuua watu waliokuwa wanasubiri utapeli wake.
Inatokea mara chache watu wanatabiri ikawa.
mkuu nakupongeza sana kwa utabir wako
Hawa wanatumia neno la Mungu vibaya, hata Musa alikosa kufika Kanaan kwa majigambo kama ya akina Gwajima na Tb Jushua.
Hapa sasa huoni kwamba unapoteza muda mwingi kujidanganya mwenyewe. Hata kama ungekuwa CCM damu.. Hakuna mtu anaye kuwekea kisu mapajana ukampigie kura Lowassa. Wapo watu kama mimi ambao huwezi kunidanganya lolote kuhusiana na huyu ---- Magufuli. Hapa CCM wameokota dodoki mzee. Hawezi kuwa Rais wa Tanzania.ki ukweli,me ni CHADEMA damu,bt nina akili timamu! Sitachagua chama hata siku moja,nitachagua mtu,hiyo ndo falsafa yangu!
In Magufuli,I trust! Na ndiye pekee ninayeweza kumpigia kura pale MAGAMBA kwa sasa,hzo ishu za NHC hata sijali,najali utendaj kazi wake,naamin pa1 na kwamba Jk ni fisadi,angeplay role yake kama rais ipasavyo,asingelaumiwa kias hiki!