Rais wetu 2015 ni .....

Maswi

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
932
211
mimi binafsi ningependa tuwe na rais wa jamii ya MAGUFULI, je kwa chama chetu CHADEMA, nani anaweza kuhimili vishindo vya MAGUFULI kama akisimamishwa na MAGAMBA ?, hatajwitajwi lakini MAGAMBA yakizidiwa yanaweza kusema ngoja tunusuru chama, tusimamishe MAGUFULI, kazi itakuwepo hapo kupambana na huyu mtu. WANANCHI wengi wana imani naye sana. Ndani ya MAGAMBA hakubaliki ila ndani ya WANANCHI anakubalika. nakaribisha MJADALA.


 
Huyo Maghufuli unaemuona mmoja tu CCM,
CDM wote wako hivyo sasa kwa taarifa yako.
 
Magandwa wana matatizo kweli, badala ya kuwaza kuwatumikia wananchi mnawaza 2015 uraisi.
 
mimi binafsi ningependa tuwe na rais wa jamii ya MAGUFULI, je kwa chama chetu CHADEMA, nani anaweza kuhimili vishindo vya MAGUFULI kama akisimamishwa na MAGAMBA ?, hatajwitajwi lakini MAGAMBA yakizidiwa yanaweza kusema ngoja tunusuru chama, tusimamishe MAGUFULI, kazi itakuwepo hapo kupambana na huyu mtu. WANANCHI wengi wana imani naye sana. Ndani ya MAGAMBA hakubaliki ila ndani ya WANANCHI anakubalika. nakaribisha MJADALA.

Mbona hatutaki kuelewa hata hesabu rahisi? Magufuri ndiyo ccm, wanakamilisha haka kamethali: lakuvunda...............................................ubani.:washing:

 
ki ukweli,me ni CHADEMA damu,bt nina akili timamu! Sitachagua chama hata siku moja,nitachagua mtu,hiyo ndo falsafa yangu!
In Magufuli,I trust! Na ndiye pekee ninayeweza kumpigia kura pale MAGAMBA kwa sasa,hzo ishu za NHC hata sijali,najali utendaj kazi wake,naamin pa1 na kwamba Jk ni fisadi,angeplay role yake kama rais ipasavyo,asingelaumiwa kias hiki!
 
ki ukweli,me ni CHADEMA damu,bt nina akili timamu! Sitachagua chama hata siku moja,nitachagua mtu,hiyo ndo falsafa yangu!
In Magufuli,I trust! Na ndiye pekee ninayeweza kumpigia kura pale MAGAMBA kwa sasa,hzo ishu za NHC hata sijali,najali utendaj kazi wake,naamin pa1 na kwamba Jk ni fisadi,angeplay role yake kama rais ipasavyo,asingelaumiwa kias hiki!
hapo kijana Magnificient umenena hata mimi CHADEMA DAMU na Mwanachama kwa maoni yangu ndani ya CCM namuona MAGUFULI tu, but Kamati kuu ya MAGAMBA wanamwogopa sana kwamba akishika nchi atawabuluza mafisadi. tuombee wansimamishe uchaguzi ujao.
 
mimi binafsi ningependa tuwe na rais wa jamii ya MAGUFULI, je kwa chama chetu CHADEMA, nani anaweza kuhimili vishindo vya MAGUFULI kama akisimamishwa na MAGAMBA ?, hatajwitajwi lakini MAGAMBA yakizidiwa yanaweza kusema ngoja tunusuru chama, tusimamishe MAGUFULI, kazi itakuwepo hapo kupambana na huyu mtu. WANANCHI wengi wana imani naye sana. Ndani ya MAGAMBA hakubaliki ila ndani ya WANANCHI anakubalika. nakaribisha MJADALA.




Mh. John Pombe Magufuli ni mtoto wa kisiasa wa Ben Mkapa yule rais aliyeuza rasilimali nyingi za nchi na kujitajirisha yeye na kakikundi kake akiwemo magufuli aliyechukua nyumba 3 au 5 za serikali. Ben Mkapa ni mtu wa karibu kiufisadi na Rostam Aziz, nimesema kiufisadi kwani huu mfumo unawaunganisha wengi siyo lazima wawe na itikadi moja ya kisiasa, au urafiki wa karibu, ni kimfumo zaidi. Naam! sasa RA ni swahiba wa mh Edward Lowassa, na hapa sasa tunamuona RA, EL, Mkapa na Crew zima ya mafisadi wakifurahia unachoongea wewe mweka thread, kutupumbaza na tuwape kura waendeleze mfumo wao wa kinyonyaji. Angalia kampeni za igunga zilivyoenda kama una mashaka na mimi-mkapa, Dr Kafumu,(aliyempa mkapa kiwira) magufuli, jan makamba, (mfuasi muhimu wa mfumo wa kifisadi), nk
Kama ulikua hujui jua hilo, kama ulikua unataka kupima kama sisi tunajua au hatujui, tunajua, kama umetumwa na wakuu wako kutuchunguza hapa basi endelea kutuchunguza woga umetuishia inaf iz inaf
 
Serikali inapata hasara ya mamilioni ngapi kwa cku kwa ufisadi wa Maghufuli kuuza nyumba za serikali?
Mbinafsi mkubwa. Mtendaji lakini ana mapungufu mengi. tutajuta akiwa Rais.


ki ukweli,me ni CHADEMA damu,bt nina akili timamu! Sitachagua chama hata siku moja,nitachagua mtu,hiyo ndo falsafa yangu!
In Magufuli,I trust! Na ndiye pekee ninayeweza kumpigia kura pale MAGAMBA kwa sasa,hzo ishu za NHC hata sijali,najali utendaj kazi wake,naamin pa1 na kwamba Jk ni fisadi,angeplay role yake kama rais ipasavyo,asingelaumiwa kias hiki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom