Rais Samia umakini unahitajika kufuatilia utendaji wa Serikali yako na Taasisi zake, ujue wewe ni daktari sasa. Ona hili la HESLB

TRAT

Member
Nov 29, 2022
41
117
Kwanza niseme mimi siyo wa kwanza kuwalalamikia hawa Bodi ya Mkopo Elimu ya Juu (HESLB). Ukiingia ATM uka-command kutoa pesa, ukapewa risti na pesa isitoke. Ukiingia ndani au ukapiga simu pesa yako inarudishwa muda huo huo.

Lakini hawa HESLB wanakata wanufaika wa mikopo Elimu ya juu kwa miaka kadhaa. Mara nyingi marejesho yakikamilika wanatabia ya kuendelea kukata mwezi mmoja, miwli, mitatu hadi minne kutegemea na mkatwaji atakavyo wahi kufuatilia kwenda kulalamika HESLB.

Ukirnda kulalamika wanakupa fomu ya kujaza Ili kusitisha makato na barua ya kumpelekea mwajiri asitishe na kukueleza kiasi unachotakiwa kurejeshewa baada ya kukata zaidi ya kiasi wanachokudai.

Badala ya kukuandikia hundi upewe pesa yako papo hapo, wanakwambia uende ukajaze taarifa zako kwenye mfumo wa ki electronic ( loan refund) na unatakiwa usubiri siku 90.

Zikiisha ukiwafuata utaambiwa endelea kusubiri, ukimaliza miezi kadhaa tena ukienda wanakwambia uendelee kusubiri huku ukipitia kuona Akaunti yako ya loan refund.

Dr. Samia kama unasoma hili embu tueleze tatizo ni nini wakati pesa wanazo kwani Kila mwezi wanakata wanufaika.

Tuondolee huu utaratibu na ikikupendeza zaidi ondoa yule mtendaji Mkuu wa HESLB au Prof. Mkenda kabisa. Hatutachoka kuwalalamikia hawa jamaa mpaka tutakapolipwa pesa yetu na kubadilisha huu utaratibu wa kuingia kwenye mfumo wa ku-claim badala ya kuandikiwa hundi.
 
Kwanza niseme mimi siyo wa kwanza kuwalalamikia hawa Bodi ya Mkopo Elimu ya Juu (HESLB). Ukiingia ATM uka-command kutoa pesa, ukapewa risti na pesa isitoke. Ukiingia ndani au ukapiga simu pesa yako inarudishwa muda huo huo.

Lakini hawa HESLB wanakata wanufaika wa mikopo Elimu ya juu kwa miaka kadhaa. Mara nyingi marejesho yakikamilika wanatabia ya kuendelea kukata mwezi mmoja, miwli, mitatu hadi minne kutegemea na mkatwaji atakavyo wahi kufuatilia kwenda kulalamika HESLB.

Ukirnda kulalamika wanakupa fomu ya kujaza Ili kusitisha makato na barua ya kumpelekea mwajiri asitishe na kukueleza kiasi unachotakiwa kurejeshewa baada ya kukata zaidi ya kiasi wanachokudai.

Badala ya kukuandikia hundi upewe pesa yako papo hapo, wanakwambia uende ukajaze taarifa zako kwenye mfumo wa ki electronic ( loan refund) na unatakiwa usubiri siku 90.

Zikiisha ukiwafuata utaambiwa endelea kusubiri, ukimaliza miezi kadhaa tena ukienda wanakwambia uendelee kusubiri huku ukipitia kuona Akaunti yako ya loan refund.

Dr. Samia kama unasoma hili embu tueleze tatizo ni nini wakati pesa wanazo kwani Kila mwezi wanakata wanufaika.

Tuondolee huu utaratibu na ikikupendeza zaidi ondoa yule mtendaji Mkuu wa HESLB au Prof. Mkenda kabisa. Hatutachoka kuwalalamikia hawa jamaa mpaka tutakapolipwa pesa yetu na kubadilisha huu utaratibu wa kuingia kwenye mfumo wa ku-claim badala ya kuandikiwa hundi.
Hii bodi ina wapumbavu na wezi wengi Sana!
 
Kwanza niseme mimi siyo wa kwanza kuwalalamikia hawa Bodi ya Mkopo Elimu ya Juu (HESLB). Ukiingia ATM uka-command kutoa pesa, ukapewa risti na pesa isitoke. Ukiingia ndani au ukapiga simu pesa yako inarudishwa muda huo huo.

Lakini hawa HESLB wanakata wanufaika wa mikopo Elimu ya juu kwa miaka kadhaa. Mara nyingi marejesho yakikamilika wanatabia ya kuendelea kukata mwezi mmoja, miwli, mitatu hadi minne kutegemea na mkatwaji atakavyo wahi kufuatilia kwenda kulalamika HESLB.

Ukirnda kulalamika wanakupa fomu ya kujaza Ili kusitisha makato na barua ya kumpelekea mwajiri asitishe na kukueleza kiasi unachotakiwa kurejeshewa baada ya kukata zaidi ya kiasi wanachokudai.

Badala ya kukuandikia hundi upewe pesa yako papo hapo, wanakwambia uende ukajaze taarifa zako kwenye mfumo wa ki electronic ( loan refund) na unatakiwa usubiri siku 90.

Zikiisha ukiwafuata utaambiwa endelea kusubiri, ukimaliza miezi kadhaa tena ukienda wanakwambia uendelee kusubiri huku ukipitia kuona Akaunti yako ya loan refund.

Dr. Samia kama unasoma hili embu tueleze tatizo ni nini wakati pesa wanazo kwani Kila mwezi wanakata wanufaika.

Tuondolee huu utaratibu na ikikupendeza zaidi ondoa yule mtendaji Mkuu wa HESLB au Prof. Mkenda kabisa. Hatutachoka kuwalalamikia hawa jamaa mpaka tutakapolipwa pesa yetu na kubadilisha huu utaratibu wa kuingia kwenye mfumo wa ku-claim badala ya kuandikiwa hundi.
Tatizo ni ccm sio Samia
 
Hiyo fomu inahitaji viambatanisho vingi sana. Mimi tangu nimejaza ni mwezi wa nne sasa na nikichukungulia kwenye hiyo fomu naona ni muda mrefu imeandikwa "your payment is in process". Sijui kigugumizi cha kurefund kinakuwa ni nini.
 
Majuzi nilikuwa nahitaji laki 8 kuchangia matibu ya mgonjwa wangu, nikawafuata nikawambia mkinilipa milioni Moja na laki mbili ninazo dai, laki 4 nawaachia Mimi nahitaji 8 tu. Wakaniambia lete cash laki 2 tukuwekee pesa yako yote. Sikuwa hata na elfu kumi mfukoni. Nina miezi 6 tangu nijaxe fomu yao.
 
Majuzi nilikuwa nahitaji laki 8 kuchangia matibu ya mgonjwa wangu, nikawafuata nikawambia mkinilipa milioni Moja na laki mbili ninazo dai, laki 4 nawaachia Mimi nahitaji 8 tu. Wakaniambia lete cash laki 2 tukuwekee pesa yako yote. Sikuwa hata na elfu kumi mfukoni. Nina miezi 6 tangu nijaxe fomu yao.
Daah
 
Majuzi nilikuwa nahitaji laki 8 kuchangia matibu ya mgonjwa wangu, nikawafuata nikawambia mkinilipa milioni Moja na laki mbili ninazo dai, laki 4 nawaachia Mimi nahitaji 8 tu. Wakaniambia lete cash laki 2 tukuwekee pesa yako yote. Sikuwa hata na elfu kumi mfukoni. Nina miezi 6 tangu nijaxe fomu yao.
Majizi na maomba rushwa yamejaa serikali za mitaa. Siyo ma DEDs, maafisa hata masijala wote wala rushwa tu. PM anapambana nayo lakini hatayamaliza. Genge la akina Liz na Feb mwisho watamwondoa. Hivi Ask. Gwajima ameshindwa kumfufua kabisa dikteta akarudi tena kuyashughulikia majizi haya. Au na Gwajima kashaungana nayo majizi kwa kupatiwa u- NEC.
 
Watu wengi wanasema wamepata refund baada ya mwaka wengine miezi 8 ,yaani sijui wanafanya nn.
 
muacheni mama ale raha za dunia, acheni kumsumbuasumbua kwa kumuandikia vitu vya kumpa stress....hivi amesharudi toka state?.
 
Watu wengi wanasema wamepata refund baada ya mwaka wengine miezi 8 ,yaani sijui wanafanya nn.
Mkandarasi anapewa mwezi mmoja kukamilisha Ujenzi. Ma loan ofisa wanachezea simu kutwa nzima. Kuturudishia makato yaliyopitiliza eti siku 90 ( miezi 3) kazi ya massa 24. Halafu mstaafu mmoja kwa sababu mtoto wake kapewa uwaziri eti Dr. Bashiru inakuuma nini na msemo "mama anaupiga mwingi". Nimemkumbuka mkulima wa nyanya na pilipili Mr. Hapi na kijembe chake kwa wastaafu.
 
Mkandarasi anapewa mwezi mmoja kukamilisha Ujenzi. Ma loan ofisa wanachezea simu kutwa nzima. Kuturudishia makato yaliyopitiliza eti siku 90 ( miezi 3) kazi ya massa 24. Halafu mstaafu mmoja kwa sababu mtoto wake kapewa uwaziri eti Dr. Bashiru inakuuma nini na msemo "mama anaupiga mwingi". Nimemkumbuka mkulima wa nyanya na pilipili Mr. Hapi na kijembe chake kwa wastaafu.
Tuna safari ndefu sana.
 
Nilishasema hii loan board ifutwe, au iachwe itoe mikopo vyuo binafsi.......wizara irudie utaratibu wa zamani wa kutoa ufadhili kwenye vyuo vya umma kwani ndo vyuo vinavyoendeshwa kwa kodi za wananchi.
 
Tuna safari ndefu sana.
Halafu zee moja linasema Katiba haileti maji, Katiba haileti umeme. Ipo siku polisi atazuia kuingiza karatasi lundo zilizokwisha pigiwa mgonbea wa CCM kwenye sanduku, ipo siku polisi watakataa kutii amri ya kuwaondoa mawakala wa upinzani vituoni Ili waibe kura, ipo siku msimamizi wa uchaguzi atagomaa kutii amri ya kumtangaza mgonbea wa CCM aliyeshindwa kuwa mshindi. Utendaji huu mbovu wa serikali ya Raid Samia unatuadhiri wote uwe polisi minda kura, uwe mwalimu msimamizi wa uchaguzi, uwe usalama wa taifa siyo kwa Chadema tu.
 
Back
Top Bottom