Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,674
Nchii ipo gizani mpuuzi wahed wewe!Hamna kheri nyie nchi ilifungwa kila kona amefungua sasa mnaanza porojo
Umefumba macho huoni wewe ni kipofu?
Nchii ipo gizani mpuuzi wahed wewe!Hamna kheri nyie nchi ilifungwa kila kona amefungua sasa mnaanza porojo
Ila Mama anapiga Pamba kweli kweliView attachment 2907412
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa Nchini Ethiopia kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, safari ambayo ameifanya baada ya kutoka kijijini Ngarash Wilayani Monduli Mkoani Arusha ambako ameongoza Waombolezaji kwenye maziko ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa.
Rais Samia amesema katika mkutano huo wa Ethiopia, pamoja na mambo mengine watajadili kuhusu amani na usalama wa Nchi za Afrika, na sera na majawabu kuhusu elimu na ujuzi, ikiwa ni maeneo yanayogusa maisha ya Wakazi zaidi ya bilioni moja wa Nchi Wanachama.
Kujua ziara nyingine za Rais Samia, soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021
Moja ya kazi anaenda kufanya huko ukiacha kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa AU ni hii hapa 👇View attachment 2907412
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa Nchini Ethiopia kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, safari ambayo ameifanya baada ya kutoka kijijini Ngarash Wilayani Monduli Mkoani Arusha ambako ameongoza Waombolezaji kwenye maziko ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa.
Rais Samia amesema katika mkutano huo wa Ethiopia, pamoja na mambo mengine watajadili kuhusu amani na usalama wa Nchi za Afrika, na sera na majawabu kuhusu elimu na ujuzi, ikiwa ni maeneo yanayogusa maisha ya Wakazi zaidi ya bilioni moja wa Nchi Wanachama.
Kujua ziara nyingine za Rais Samia, soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021
Kawashe kiberitiNchii ipo gizani mpuuzi wahed wewe!
Umefumba macho huoni wewe ni kipofu?
Na wasababishaji wakuu wa hizo vita ni hao minerals Don’s ambao ndio pia weapons supplies !Kukiwekwa mifumo maalumu ya utambuzi, origin, umiliki, kuwepo authority maalumu kama verifier before sales, tutashinda, yapewe restriction kali, kama pembe za ndovu, lakini kuwepo mamlaka maalumu ya kuthibitisha, uswiss.
N. B, Ili uuze madini iwe ni lazima uombe kibali, wakaguzi wakague wathibitishe origin, ndipo yauzwe, endapo kama tumechoka na migogoro Afrika, 90% percent ya migogoro imesababishwa na madini, Africa.
Moja ya kazi anaenda kufanya huko ukiacha kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa AU ni hii hapa 👇
View: https://www.instagram.com/p/C3eoYcWqNqQ/?igsh=ejN2MjN4dDBnbGMz
Kweli aisee. Dah huyu mama ni Rais wa safari sio Rais wa wananchi. Utadhani amebet na mtu kuwa mpaka nimalize urais nataka niguse nchi 1000.Apunguze safari atume wawakilishi huku kuna maandamano vitu vinapanda bei, umeme hakuna
Rais wa Wananchi anakuaje? 😆😆Kweli aisee. Dah huyu mama ni Rais wa safari sio Rais wa wananchi. Utadhani amebet na mtu kuwa mpaka nimalize urais nataka niguse nchi 1000.
Mbona anao wasaidizi wengi tu.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Mwanajesh hufia vitani ulitaka afie kwenye kinena cha mwanamke!Soko la hapa Nchini lenyewe halina Umeme huu sasa ni wakati muafaka wa kujali siasa za ndani siasa za sijui kumkomboa mtu ndio zimetufanya tuwe masikini wa kutupwa.
Tulikwenda kupigana Msumbiji mara mbili lakini leo Watanzania huwa wanafukuzwa kama Mbwa Msumbiji.
Sasa hivi Askari wa Afrika Kusini wameuwawa huko Kongo hao watu wana familia wameacha Watoto ambao leo hii wanakuwa mayatima.
Madness
Hivi kabakiza nchi ngapi , ningependa kujua aiseeView attachment 2907412
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa Nchini Ethiopia kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, safari ambayo ameifanya baada ya kutoka kijijini Ngarash Wilayani Monduli Mkoani Arusha ambako ameongoza Waombolezaji kwenye maziko ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa.
Rais Samia amesema katika mkutano huo wa Ethiopia, pamoja na mambo mengine watajadili kuhusu amani na usalama wa Nchi za Afrika, na sera na majawabu kuhusu elimu na ujuzi, ikiwa ni maeneo yanayogusa maisha ya Wakazi zaidi ya bilioni moja wa Nchi Wanachama.
Kujua ziara nyingine za Rais Samia, soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021
kaisha maliza zote sasa hv anafanyaHivi kabakiza nchi ngapi , ningependa kujua aisee
Ila huyu MTU Kwa kweli,yani unawaza sijui anatuona wajingaHuyu ajifunze kuwakilishwa atadhurika afya jamani...anasafiri nje kuliko anavyoenda kwao kusalimia!!!
Mwakani atatakiwa kuzunguka nchi nzima kufanya kampeni na kampeni itakuwa ngumu!!
Embu madaktari wamrekebishie ratiba asiteseke hivyo.
Kiongozi unaenda kujadili yawengine huku nchi Yako Iko gizani na wananchi wanalia hakizao kuwa ngumu...unapatawapi ujasiri huoo??
Mpaka awe safarini?Mama akiwa safarini washikaji wanajipigia tu mpunga. Na akitoka huko wanampa tena ziara nyingine.
Acha kujitoa ufahamu aisee..Tupo pazuri, tunaelekea pazuri sana na kwa hakika tupo mikono salama, mama Dr SSH atatuvusha salama Salimini 🌹
Wafia dini haswa wavaa vipedoKisha eti kuna watu wanamponda Mwalimu !
Duh 🙄 ! 🙏🙏
nadhani unafahamu pasina shaka kwamba tupo pazuri, unajivunga tu....Acha kujitoa ufahamu aisee..
Kwanini wasilinde miundombinu ya ESKOM inayoporwa na kusababisha Umeme kuwa wa Mgao badala ya kukimbilia kufa kwenye Vita isiyowahusu.Mwanajesh hufia vitani ulitaka afie kwenye kinena cha mwanamke!