Rais Samia awasili nchini Ethiopia

Soko gani unataka wakati hata kuzalisha huzalishi chochote, na wala umeme wa kuwasha kibatari huna, waswahili porojo tuu, lini mtakuwa serious nyie?
Ukistaafu kula ugali wa Shemeji utajua umuhimu wa Congo kwa biashara ya Bandari yetu
 
Mbona magu hakuwai kwenda na maisha halienda, hata gharama za maisha hazikua juu kiasi hiki
Pambana kivyako

maisha magumu wakati kila kona watu wananyanyua vibiriti vya haja

usisubiri Serikali ikupunguzie ugumu wa Maisha

Ugumu wa maisha pia ni fursa kwa watu wenye rasilimali akili na Maarifa
 
Hao Walinzi wake kama wanajielewa sasa hivi wanamijengo na mihekalu mikibwa mnoo.. sio kwa per diem hizo kmk walllahi...
 
Khaaaa nikijua wakeleta madege yao....kumbe zimepita hapa hapa hatari sanaaa sasa zinatupiga wenyewee....pia tuamke naona sabotage siku moja tukipigwa hapa ndani sbb kuwapelekea moto huko DRC soon.....
Alitonywa kuna konteza zimekuja na mzigo sio ikamuuliwa zirudi zilipotoka
Yule tolu mnyama akaja chap kumsabahi leongo kuu aweke swa mzigo wake uruhusiwe ila wazee walimkzai mama usiruhusu sijui alipewa nini mzigo ukayoka na ulinzi juu
Yuko bize kukwea piapa hukunkw jirani hali mbaya
 
Huyu ajifunze kuwakilishwa atadhurika afya jamani...anasafiri nje kuliko anavyoenda kwao kusalimia!!!
Mwakani atatakiwa kuzunguka nchi nzima kufanya kampeni na kampeni itakuwa ngumu!!
Embu madaktari wamrekebishie ratiba asiteseke hivyo.
Kiongozi unaenda kujadili yawengine huku nchi Yako Iko gizani na wananchi wanalia hakizao kuwa ngumu...unapatawapi ujasiri huoo??
Kinachofanya awe huru kiasi hiki ni kuwa hategemei kura za wananchi kubaki kuwa rais. Mpaka tutakapokuwa na uchaguzi huru ambao unatoa fursa kwa wananchi kuchagua viongozi wao, kila rais atakayeingia hataogopa wananchi.
 
Back
Top Bottom