Nampenda sana Rais wangu Mama Samia ila baadhi ya aliowaamini siwapendi!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,600
8,648
Ukiniuliza kiongozi gani unampenda mimi bila ya kupepesya macho nitakutajia Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Swali; Kwanini unampenda Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Jibu;
  • Nampenda kwa sababu zifuatazo
  1. Nikiongozi wa Nchi yangu, ni jukumu langu la kwanza mimi kama mtanzania kumpenda kama kiongozi wa nchi (Rais wangu)
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Amerudisha katika mstari wa kimataifa ambao tulicha uacha na kujiaminisha sisi tutakuja kupeleka mitumba ulaya yani nguo tulizozichoka kuwapelekea wazungu wavae,au kujiaminisha sisi tutakuwa tunatoa misada kwa nchi za Ulaya.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni mwana mama mstahimilivu katika uwanja wa siasa anayeamini katika majadiliano,anayeamini hii ni nchi ya watanzania wote.
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi ambaye hapendi kukurupuka katika medani za siasa.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Ni Kiongozi anapenda kusikiliza watu,japo hili linaweza kuwa linatatizwa na waliomzunguka kwa maana washauri wake,ambao hawapendi mabadiriko ndani ya serikali na chama chake.
Swali; Unafikiri kwa sababu hizi ulizozitoa zinasababisha awe kiongozi bora??
Jibu;
  • Ndiyo kwa sabau hizi
  1. Kiongozi yoyote jukumu lake la kwanza ni kuwasikiliza wananchi wake hilo ndilo jukumu la kwanza kwa kiongozi yoyote Duniani kitendo ambacho Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! ameweza,
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Alisikiliza vilio vya mtoto wa kike kwa kujenga mashule karibu hili huyo mtoto wakike apunguziwe mwendo wakutembea na nyingine kuwekewa mabweni.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Akuishia hapo alisikiliza kilio cha akina Mama akasema nitawatua ndoo kwakutembea mwendo mrefu Tumeona Miradi ya maji ikiwa inatekelezwa kwa wakati na maji sasa watu wanamwagilia mashamba!
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,AAkaendelea kusikiliza vilio vya akina mama wajawazito ameongeza mahospitali kila wilaya na vituo vya afya kila kata! hilo halina ubishi.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Sasa anakuja kumsikiliza huyu mama anayepikia kuni ambazo kitaalamu inaelezwa zinatoa moshi wenye sumu na watu wamepata ulemavu wa macho bila kujua kuwa kilichosababisha ni kuni za kupikia! leo ametangaza mkakati wa COOK CLEAN Na miradi kama ya Cooking Fund chini ya mashirika ya Umoja wa Mtaifa nchini imeanza huko vijijini Pilot regions mojawapo ni Dodoma
  6. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Hayo ni mchache nimeyaelezea japo watanzania wanakihu ya kuona tunakuwa na katiba mpya ambalo ni jambo la msingi kwa nchi ambayo imeingia katika mfumo wa vyama vingi huku ikitumia katiba ya mfumo wa chama kimoja! hilo niswala linaloitaji utashi wa viongozi wa chama ila kama yeye utashi wake nikuona tunakuwa na katiba mpya na ndiyo maana ya kuwa na hizi 4R.
  7. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi mwenye utashi wa kisiasa Political will.
  8. Mwisho naweza kusema baadhi ya wateule wake mimi siwapendi kwa sababu,ni watu wasiopenda kubadilika na pia wanaendekeza unafiki!Si wakweli kutoka Rohoni!!
Nafahamu utajisikia vibaya kama unaona umekwazika pita pole pole usitukane.
 
Ukiniuliza kiongozi gani unampenda mimi bila ya kupepesya macho nitakutajia Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Swali; Kwanini unampenda Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Jibu;
  • Nampenda kwa sababu zifuatazo
  1. Nikiongozi wa Nchi yangu, ni jukumu langu la kwanza mimi kama mtanzania kumpenda kama kiongozi wa nchi (Rais wangu)
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Amerudisha katika mstari wa kimataifa ambao tulicha uacha na kujiaminisha sisi tutakuja kupeleka mitumba ulaya yani nguo tulizozichoka kuwapelekea wazungu wavae,au kujiaminisha sisi tutakuwa tunatoa misada kwa nchi za Ulaya.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni mwana mama mstahimilivu katika uwanja wa siasa anayeamini katika majadiliano,anayeamini hii ni nchi ya watanzania wote.
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi ambaye hapendi kukurupuka katika medani za siasa.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Ni Kiongozi anapenda kusikiliza watu,japo hili linaweza kuwa linatatizwa na waliomzunguka kwa maana washauri wake,ambao hawapendi mabadiriko ndani ya serikali na chama chake.
Swali; Unafikiri kwa sababu hizi ulizozitoa zinasababisha awe kiongozi bora??
Jibu;
  • Ndiyo kwa sabau hizi
  1. Kiongozi yoyote jukumu lake la kwanza ni kuwasikiliza wananchi wake hilo ndilo jukumu la kwanza kwa kiongozi yoyote Duniani kitendo ambacho Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! ameweza,
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Alisikiliza vilio vya mtoto wa kike kwa kujenga mashule karibu hili huyo mtoto wakike apunguziwe mwendo wakutembea na nyingine kuwekewa mabweni.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Akuishia hapo alisikiliza kilio cha akina Mama akasema nitawatua ndoo kwakutembea mwendo mrefu Tumeona Miradi ya maji ikiwa inatekelezwa kwa wakati na maji sasa watu wanamwagilia mashamba!
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,AAkaendelea kusikiliza vilio vya akina mama wajawazito ameongeza mahospitali kila wilaya na vituo vya afya kila kata! hilo halina ubishi.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Sasa anakuja kumsikiliza huyu mama anayepikia kuni ambazo kitaalamu inaelezwa zinatoa moshi wenye sumu na watu wamepata ulemavu wa macho bila kujua kuwa kilichosababisha ni kuni za kupikia! leo ametangaza mkakati wa COOK CLEAN Na miradi kama ya Cooking Fund chini ya mashirika ya Umoja wa Mtaifa nchini imeanza huko vijijini Pilot regions mojawapo ni Dodoma
  6. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Hayo ni mchache nimeyaelezea japo watanzania wanakihu ya kuona tunakuwa na katiba mpya ambalo ni jambo la msingi kwa nchi ambayo imeingia katika mfumo wa vyama vingi huku ikitumia katiba ya mfumo wa chama kimoja! hilo niswala linaloitaji utashi wa viongozi wa chama ila kama yeye utashi wake nikuona tunakuwa na katiba mpya na ndiyo maana ya kuwa na hizi 4R.
  7. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi mwenye utashi wa kisiasa Political will.
  8. Mwisho naweza kusema baadhi ya wateule wake mimi siwapendi kwa sababu,ni watu wasiopenda kubadilika na pia wanaendekeza unafiki!Si wakweli kutoka Rohoni!!
Nafahamu utajisikia vibaya kama unaona umekwazika pita pole pole usitukane.
Ndege wafananao huruka pamoja. 'Kila mtu ale kwa urefu wa kama yake"
 
Nyundo ya KIKOKOTOO wala Zigo la TOZO halijakufikia Kichwani

Umeshiba mayai kazi ni moya tu..
 
Hatuko North Korea.
Sikuelewa hata wewe Kaka kiiza ni chawa mbobevu!
Ukasema kuna viongozi wa Samia huwapendi, mbona haujataja hata mmoja?
Umeishia kusifia sifia tu, yaani sifa nyepesi zisizo na uspecial wowote zinazoweza kubebwa na mtu yeyote.

Kuna mtu hapo juu kasema, sasa hivi kuna robot linaweza kufanya kazi zakusifia mliyoajiriwa kufanya.

Kwa hiyo sasa nyinyi walamba ma.... Mjiandae kisaikolojia na mtafute kazi za kufanya.
 
Ukiniuliza kiongozi gani unampenda mimi bila ya kupepesya macho nitakutajia Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Swali; Kwanini unampenda Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Jibu;
  • Nampenda kwa sababu zifuatazo
  1. Nikiongozi wa Nchi yangu, ni jukumu langu la kwanza mimi kama mtanzania kumpenda kama kiongozi wa nchi (Rais wangu)
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Amerudisha katika mstari wa kimataifa ambao tulicha uacha na kujiaminisha sisi tutakuja kupeleka mitumba ulaya yani nguo tulizozichoka kuwapelekea wazungu wavae,au kujiaminisha sisi tutakuwa tunatoa misada kwa nchi za Ulaya.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni mwana mama mstahimilivu katika uwanja wa siasa anayeamini katika majadiliano,anayeamini hii ni nchi ya watanzania wote.
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi ambaye hapendi kukurupuka katika medani za siasa.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Ni Kiongozi anapenda kusikiliza watu,japo hili linaweza kuwa linatatizwa na waliomzunguka kwa maana washauri wake,ambao hawapendi mabadiriko ndani ya serikali na chama chake.
Swali; Unafikiri kwa sababu hizi ulizozitoa zinasababisha awe kiongozi bora??
Jibu;
  • Ndiyo kwa sabau hizi
  1. Kiongozi yoyote jukumu lake la kwanza ni kuwasikiliza wananchi wake hilo ndilo jukumu la kwanza kwa kiongozi yoyote Duniani kitendo ambacho Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! ameweza,
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Alisikiliza vilio vya mtoto wa kike kwa kujenga mashule karibu hili huyo mtoto wakike apunguziwe mwendo wakutembea na nyingine kuwekewa mabweni.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Akuishia hapo alisikiliza kilio cha akina Mama akasema nitawatua ndoo kwakutembea mwendo mrefu Tumeona Miradi ya maji ikiwa inatekelezwa kwa wakati na maji sasa watu wanamwagilia mashamba!
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,AAkaendelea kusikiliza vilio vya akina mama wajawazito ameongeza mahospitali kila wilaya na vituo vya afya kila kata! hilo halina ubishi.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Sasa anakuja kumsikiliza huyu mama anayepikia kuni ambazo kitaalamu inaelezwa zinatoa moshi wenye sumu na watu wamepata ulemavu wa macho bila kujua kuwa kilichosababisha ni kuni za kupikia! leo ametangaza mkakati wa COOK CLEAN Na miradi kama ya Cooking Fund chini ya mashirika ya Umoja wa Mtaifa nchini imeanza huko vijijini Pilot regions mojawapo ni Dodoma
  6. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Hayo ni mchache nimeyaelezea japo watanzania wanakihu ya kuona tunakuwa na katiba mpya ambalo ni jambo la msingi kwa nchi ambayo imeingia katika mfumo wa vyama vingi huku ikitumia katiba ya mfumo wa chama kimoja! hilo niswala linaloitaji utashi wa viongozi wa chama ila kama yeye utashi wake nikuona tunakuwa na katiba mpya na ndiyo maana ya kuwa na hizi 4R.
  7. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi mwenye utashi wa kisiasa Political will.
  8. Mwisho naweza kusema baadhi ya wateule wake mimi siwapendi kwa sababu,ni watu wasiopenda kubadilika na pia wanaendekeza unafiki!Si wakweli kutoka Rohoni!!
Nafahamu utajisikia vibaya kama unaona umekwazika pita pole pole usitukane.
Kwahiyo sasa tatizo hapo ni la hao walioaminiwa au ni tatizo la aliyewaamini watu wajinga?
 
Ukiniuliza kiongozi gani unampenda mimi bila ya kupepesya macho nitakutajia Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Swali; Kwanini unampenda Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Jibu;
  • Nampenda kwa sababu zifuatazo
  1. Nikiongozi wa Nchi yangu, ni jukumu langu la kwanza mimi kama mtanzania kumpenda kama kiongozi wa nchi (Rais wangu)
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Amerudisha katika mstari wa kimataifa ambao tulicha uacha na kujiaminisha sisi tutakuja kupeleka mitumba ulaya yani nguo tulizozichoka kuwapelekea wazungu wavae,au kujiaminisha sisi tutakuwa tunatoa misada kwa nchi za Ulaya.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni mwana mama mstahimilivu katika uwanja wa siasa anayeamini katika majadiliano,anayeamini hii ni nchi ya watanzania wote.
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi ambaye hapendi kukurupuka katika medani za siasa.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Ni Kiongozi anapenda kusikiliza watu,japo hili linaweza kuwa linatatizwa na waliomzunguka kwa maana washauri wake,ambao hawapendi mabadiriko ndani ya serikali na chama chake.
Swali; Unafikiri kwa sababu hizi ulizozitoa zinasababisha awe kiongozi bora??
Jibu;
  • Ndiyo kwa sabau hizi
  1. Kiongozi yoyote jukumu lake la kwanza ni kuwasikiliza wananchi wake hilo ndilo jukumu la kwanza kwa kiongozi yoyote Duniani kitendo ambacho Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! ameweza,
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Alisikiliza vilio vya mtoto wa kike kwa kujenga mashule karibu hili huyo mtoto wakike apunguziwe mwendo wakutembea na nyingine kuwekewa mabweni.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Akuishia hapo alisikiliza kilio cha akina Mama akasema nitawatua ndoo kwakutembea mwendo mrefu Tumeona Miradi ya maji ikiwa inatekelezwa kwa wakati na maji sasa watu wanamwagilia mashamba!
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,AAkaendelea kusikiliza vilio vya akina mama wajawazito ameongeza mahospitali kila wilaya na vituo vya afya kila kata! hilo halina ubishi.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Sasa anakuja kumsikiliza huyu mama anayepikia kuni ambazo kitaalamu inaelezwa zinatoa moshi wenye sumu na watu wamepata ulemavu wa macho bila kujua kuwa kilichosababisha ni kuni za kupikia! leo ametangaza mkakati wa COOK CLEAN Na miradi kama ya Cooking Fund chini ya mashirika ya Umoja wa Mtaifa nchini imeanza huko vijijini Pilot regions mojawapo ni Dodoma
  6. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Hayo ni mchache nimeyaelezea japo watanzania wanakihu ya kuona tunakuwa na katiba mpya ambalo ni jambo la msingi kwa nchi ambayo imeingia katika mfumo wa vyama vingi huku ikitumia katiba ya mfumo wa chama kimoja! hilo niswala linaloitaji utashi wa viongozi wa chama ila kama yeye utashi wake nikuona tunakuwa na katiba mpya na ndiyo maana ya kuwa na hizi 4R.
  7. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi mwenye utashi wa kisiasa Political will.
  8. Mwisho naweza kusema baadhi ya wateule wake mimi siwapendi kwa sababu,ni watu wasiopenda kubadilika na pia wanaendekeza unafiki!Si wakweli kutoka Rohoni!!
Nafahamu utajisikia vibaya kama unaona umekwazika pita pole pole usitukane.
Kwani hao usiowapenda wao wamesema wanakupenda? Chawa mbona hampendani wenyewe kwa wenyewe?
 
Ukiniuliza kiongozi gani unampenda mimi bila ya kupepesya macho nitakutajia Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Swali; Kwanini unampenda Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Jibu;
  • Nampenda kwa sababu zifuatazo
  1. Nikiongozi wa Nchi yangu, ni jukumu langu la kwanza mimi kama mtanzania kumpenda kama kiongozi wa nchi (Rais wangu)
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Amerudisha katika mstari wa kimataifa ambao tulicha uacha na kujiaminisha sisi tutakuja kupeleka mitumba ulaya yani nguo tulizozichoka kuwapelekea wazungu wavae,au kujiaminisha sisi tutakuwa tunatoa misada kwa nchi za Ulaya.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni mwana mama mstahimilivu katika uwanja wa siasa anayeamini katika majadiliano,anayeamini hii ni nchi ya watanzania wote.
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi ambaye hapendi kukurupuka katika medani za siasa.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Ni Kiongozi anapenda kusikiliza watu,japo hili linaweza kuwa linatatizwa na waliomzunguka kwa maana washauri wake,ambao hawapendi mabadiriko ndani ya serikali na chama chake.
Swali; Unafikiri kwa sababu hizi ulizozitoa zinasababisha awe kiongozi bora??
Jibu;
  • Ndiyo kwa sabau hizi
  1. Kiongozi yoyote jukumu lake la kwanza ni kuwasikiliza wananchi wake hilo ndilo jukumu la kwanza kwa kiongozi yoyote Duniani kitendo ambacho Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! ameweza,
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Alisikiliza vilio vya mtoto wa kike kwa kujenga mashule karibu hili huyo mtoto wakike apunguziwe mwendo wakutembea na nyingine kuwekewa mabweni.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Akuishia hapo alisikiliza kilio cha akina Mama akasema nitawatua ndoo kwakutembea mwendo mrefu Tumeona Miradi ya maji ikiwa inatekelezwa kwa wakati na maji sasa watu wanamwagilia mashamba!
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,AAkaendelea kusikiliza vilio vya akina mama wajawazito ameongeza mahospitali kila wilaya na vituo vya afya kila kata! hilo halina ubishi.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Sasa anakuja kumsikiliza huyu mama anayepikia kuni ambazo kitaalamu inaelezwa zinatoa moshi wenye sumu na watu wamepata ulemavu wa macho bila kujua kuwa kilichosababisha ni kuni za kupikia! leo ametangaza mkakati wa COOK CLEAN Na miradi kama ya Cooking Fund chini ya mashirika ya Umoja wa Mtaifa nchini imeanza huko vijijini Pilot regions mojawapo ni Dodoma
  6. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Hayo ni mchache nimeyaelezea japo watanzania wanakihu ya kuona tunakuwa na katiba mpya ambalo ni jambo la msingi kwa nchi ambayo imeingia katika mfumo wa vyama vingi huku ikitumia katiba ya mfumo wa chama kimoja! hilo niswala linaloitaji utashi wa viongozi wa chama ila kama yeye utashi wake nikuona tunakuwa na katiba mpya na ndiyo maana ya kuwa na hizi 4R.
  7. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi mwenye utashi wa kisiasa Political will.
  8. Mwisho naweza kusema baadhi ya wateule wake mimi siwapendi kwa sababu,ni watu wasiopenda kubadilika na pia wanaendekeza unafiki!Si wakweli kutoka Rohoni!!
Nafahamu utajisikia vibaya kama unaona umekwazika pita pole pole usitukane.
NDUGU NO 1.
UKIONA UTEUZI WOWOTE SIO TU MH ANALETEWA MAJINA NA MENGINE ANALETEWA YANAJADIILIWA SIO WOOTE ANAWAJUA ALISHASEMA HILI NAOMBA TUWEKE WAZI..SO TUSIPELEKE MOJAKWAMOJA LAWAMA KWA ANAITEUA..ZIDI KUMWOMBEA APATE WATU SAHIHI NA ATAKAPOLETEWA KWA USHAURI ALETEWE WATU SAHIHI N JESUS NAME
WE PRY
AMEN
 
NDUGU NO 1.
UKIONA UTEUZI WOWOTE SIO TU MH ANALETEWA MAJINA NA MENGINE ANALETEWA YANAJADIILIWA SIO WOOTE ANAWAJUA ALISHASEMA HILI NAOMBA TUWEKE WAZI..SO TUSIPELEKE MOJAKWAMOJA LAWAMA KWA ANAITEUA..ZIDI KUMWOMBEA APATE WATU SAHIHI NA ATAKAPOLETEWA KWA USHAURI ALETEWE WATU SAHIHI N JESUS NAME
WE PRY
AMEN
Kwann asijiridhishe vigezo vyao wakati mifumo ya kumsaidia kufanya hivyo yote anayo imemzunguka?!.
Hao wa hovyo kawateua yeye, hawajajiteua wao.
Tatizo ni yeye mteuaji, period!!.
 
Ukiniuliza kiongozi gani unampenda mimi bila ya kupepesya macho nitakutajia Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Swali; Kwanini unampenda Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Jibu;
  • Nampenda kwa sababu zifuatazo
  1. Nikiongozi wa Nchi yangu, ni jukumu langu la kwanza mimi kama mtanzania kumpenda kama kiongozi wa nchi (Rais wangu)
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Amerudisha katika mstari wa kimataifa ambao tulicha uacha na kujiaminisha sisi tutakuja kupeleka mitumba ulaya yani nguo tulizozichoka kuwapelekea wazungu wavae,au kujiaminisha sisi tutakuwa tunatoa misada kwa nchi za Ulaya.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni mwana mama mstahimilivu katika uwanja wa siasa anayeamini katika majadiliano,anayeamini hii ni nchi ya watanzania wote.
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi ambaye hapendi kukurupuka katika medani za siasa.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Ni Kiongozi anapenda kusikiliza watu,japo hili linaweza kuwa linatatizwa na waliomzunguka kwa maana washauri wake,ambao hawapendi mabadiriko ndani ya serikali na chama chake.
Swali; Unafikiri kwa sababu hizi ulizozitoa zinasababisha awe kiongozi bora??
Jibu;
  • Ndiyo kwa sabau hizi
  1. Kiongozi yoyote jukumu lake la kwanza ni kuwasikiliza wananchi wake hilo ndilo jukumu la kwanza kwa kiongozi yoyote Duniani kitendo ambacho Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! ameweza,
  2. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Alisikiliza vilio vya mtoto wa kike kwa kujenga mashule karibu hili huyo mtoto wakike apunguziwe mwendo wakutembea na nyingine kuwekewa mabweni.
  3. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Akuishia hapo alisikiliza kilio cha akina Mama akasema nitawatua ndoo kwakutembea mwendo mrefu Tumeona Miradi ya maji ikiwa inatekelezwa kwa wakati na maji sasa watu wanamwagilia mashamba!
  4. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,AAkaendelea kusikiliza vilio vya akina mama wajawazito ameongeza mahospitali kila wilaya na vituo vya afya kila kata! hilo halina ubishi.
  5. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!, Sasa anakuja kumsikiliza huyu mama anayepikia kuni ambazo kitaalamu inaelezwa zinatoa moshi wenye sumu na watu wamepata ulemavu wa macho bila kujua kuwa kilichosababisha ni kuni za kupikia! leo ametangaza mkakati wa COOK CLEAN Na miradi kama ya Cooking Fund chini ya mashirika ya Umoja wa Mtaifa nchini imeanza huko vijijini Pilot regions mojawapo ni Dodoma
  6. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Hayo ni mchache nimeyaelezea japo watanzania wanakihu ya kuona tunakuwa na katiba mpya ambalo ni jambo la msingi kwa nchi ambayo imeingia katika mfumo wa vyama vingi huku ikitumia katiba ya mfumo wa chama kimoja! hilo niswala linaloitaji utashi wa viongozi wa chama ila kama yeye utashi wake nikuona tunakuwa na katiba mpya na ndiyo maana ya kuwa na hizi 4R.
  7. Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!,Ni kiongozi mwenye utashi wa kisiasa Political will.
  8. Mwisho naweza kusema baadhi ya wateule wake mimi siwapendi kwa sababu,ni watu wasiopenda kubadilika na pia wanaendekeza unafiki!Si wakweli kutoka Rohoni!!
Nafahamu utajisikia vibaya kama unaona umekwazika pita pole pole usitukane.
Una-mpendaje na yeye kashindwa kuwa- simamia alio wateu,wewe kilaza kweli kweli.
 
Mwisho naweza kusema baadhi ya wateule wake mimi siwapendi kwa sababu,ni watu wasiopenda kubadilika na pia wanaendekeza unafiki!Si wakweli kutoka Rohoni!!
Nafahamu utajisikia vibaya kama unaona umekwazika pita pole pole usitukane.
Naunga mkono hoja, miongoni mwa wasaidizi wake wasiomsaidia ni wasaidizi wake sheria!. Wamemtungia sheria mpya ya uchaguzi yenye kipengele batili kinyume cha katiba!. Ombi kwa Rais Samia: Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili. Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa imeporwa! Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!
P
 
Kuna kundi lile lililoachwa na jiwe ndiyo linampa ushauri unaomwangaza (ushauri potofu) ili aharibikiwe halafu wao wapate fursa ya kuweka mtu wao.
 
Mie simpendi, kashindwa kuongoza nchi vizuri...mambo kibao sasa hv ni ya hovyo kuanzia kiuchumi hadi kiutawala!
 
Back
Top Bottom