Samia ana uchu mkubwa wa madaraka, anajua demokrasia ili kujua mkondo wake hawezi kupenya na waarabu wanamtaka abaki ili aendelee kuwauzia Tanganyika yetuTaarifa zilizosambazwa kwa vyombo vya Habari Nchini Tanzania zinaeleza kwamba Rais wa Nchi hiyo amesaini ile Miswada mibovu inayopingwa na kila mwenye akili timamu
Bila Shaka kwa kitendo hiki inamaanisha kwamba Rais Samia AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .
---
Rais Samia Suluhu Hassan amesaini miswada minne ya sheria iliyopitishwa na bunge kuwa sheria. Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ametaja sheria hizo kuwa ni Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa; Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa na Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali.
Soma: Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2024