Singo Batan
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 292
- 191
Leo tarehe 10 novemba 2023, Bunge limesoma miswada miwili ya sheria za uchaguzi kati ya miswada mitano iliyosomwa kwa mara ya kwanza. Miswada hiyo kuhusu sheria ya uchaguzi kwa mujibu wa bunge ni
- Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023; na
- Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023