Rais Samia ameonesha udhaifu mkubwa; sasa itaonekana kesi dhidi wapinzani zina mkono wa Serikali

Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.

Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.

Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.

Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.

Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.

Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.

Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Rais_Samia_Suluhu_Hassan_leo_Machi_4%2C_2022_amekutana_na_kuzungumza_na_Mwenyekiti_wa_Chama_ch...jpg
 
Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.

Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.

Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.

Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.

Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.

Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.

Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Nyinyi Magufulists inabidi awamu hii ya Samia muwe wapole, hamna jeuri ya kumuendesha SSH kwa remote control. Inawezekana JK kuna kipindi anaiendesha nchi akiwa Msoga lakini naamini ni kwa muda tu na sababu haswa ni uzoefu wake akiwa kama mstaafu mwenye nguvu kati ya wawili walio hai kwa sasa.

Mtakuwa mnaumia mioyoni kila mara kwani SSH anafanya anavyoona inafaa, hiyo nongwa ya SSH kuwa kaurithi urais kutoka JPM inakwenda ikipoteza nguvu kadri muda unavyozidi kupita.
 
Nyinyi Magufulists inabidi awamu hii ya Samia muwe wapole, hamna jeuri ya kumuendesha SSH kwa remote control. Inawezekana JK kuna kipindi anaiendesha nchi akiwa Msoga lakini naamini ni kwa muda tu na sababu haswa ni uzoefu wake akiwa kama mstaafu mwenye nguvu kati ya wawili walio hai kwa sasa.

Mtakuwa mnaumia mioyoni kila mara kwani SSH anafanya anavyoona inafaa, hiyo nongwa ya SSH kuwa kaurithi urais kutoka JPM inakwenda ikipoteza nguvu kadri muda unavyozidi kupita.
Nongwa ya mataga haitopoteza nguvu, wataibuka nayo 2025
 
Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.

Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.

Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.

Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.

Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.

Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.

Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Mbona mwoga sana wewe?

Na kwanini unajaribu kuulinda woga wako kwa gharama ya utu na uhai wa wenzako...?

Kama serikali yako inatenda vyema na mema kwanini uwe na hofu na wakosoaji kwa sababu it's obviousily that, hawana cha kukosoa...!!?

JIBU NI MOJA TU;

CCM na serikali yenu mna hofu na mnajaribu kuzuia sauti pinzani na za kuwakosoa kwa sababu mnajua hamja meet matarajio ya wana wa nchi hii....!!

If this is the case, then, you know what now..?

IT'S SIMPLE....., YOUR TIME IS OVER...!!

JUA KALI LINAANZA KUIWAKIA CCM.....
 
Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.

Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.

Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.

Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.

Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.

Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.

Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
CCM tunatakiwa tupigie upya mikakati yetu ili iendane na Rais wa sasa. Huyu ni tofauti mno na Marais waliopita hasa wa awamu ya 5. Hataki zile Fujo zetu.
 
Maneno ya hekima ya mwenyekiti Freeman Mbowe leo tarehe 4 March 2022



KAULI YA MBOWE YA KWANZA BAADA YA KUTOKA GEREZANI, ATOA TAMKO KWA WAFUASI WA CHADEMA NA WATANZANIA.. HATIMAYE Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ameachiwa huru baada ya DPP kuwasilisha mahakamani hati ya kutakuwa na nia ya kuendelea na kesi.
 
hivi jambazi na gaidi nani hatari sana kwa nchi yetu? eti jambazi anafungwa gaidi anaachiwa
 
Mleta mada tatizo lako ni akili yenye kufikiri basi ndio haipo na ukikosa akili unabaki kuwa mshabiki tu.
 
Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.

Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.

Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.

Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.

Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.

Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.

Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Joh! Yaani mpaka hapo umenifurahisha kwa kukiri openly kwamba wewe una-front kambi dhaifu ya the so called "Magufulists" aka Sukumagang! hiyo tafsiri yake rahisi ninyi ni watu mnaosukumwa na emotions (Jazba) badala ya logic (mantiki)!

SSH na timu yake wameongozwa na dira ya maslahi mapana ya kitaifa, CDM hoja yao kwamba Mbowe sio gaidi imeshinda na kubwa zaidi ni TAIFA mama TANZANIA limeshinda, hicho ndio cha msingi, tusonge mbele yaliyobaki ni historia.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Joh! Yaani mpaka hapo umenifurahisha kwa kukiri openly kwamba wewe una-front kambi dhaifu ya the so called "Magufulists" aka Sukumagang! hiyo tafsiri yake rahisi ninyi ni watu mnaosukumwa na emotions (Jazba) badala ya logic (mantiki)!

SSH na timu yake wameongozwa na dira ya maslahi mapana ya kitaifa, CDM hoja yao kwamba Mbowe sio gaidi imeshinda na kubwa zaidi ni TAIFA mama TANZANIA limeshinda, hicho ndio cha msingi, tusonge mbele yaliyobaki ni historia.
Yanayokuja ni wahuni kudhibiti mambo huku cdm wakiendelea na kupepeta mdomo kwenye mikutano isiyokua na tija kwa maendeleo ya nchi
 
Lakini huyu huyu Samia mlikuwa mnamtukana.
Hapa ndiyo inaonyesha mataga pori mmepanic kweri-kweri.

Chadema kupitia Mbowe imeandika barua mara kadhaa kuombankukutana na samia na Mbowe ameshatangaza hilo mara kadhaa.
Haya leo mmechukia kweri-kweri baada ya samia kwa kinywa chake kukiri kuwa ameona leo akutane na mbowe
 
Mbowe hakuwa gaidi na mama kafanya vizuri sana,,,tunarudi enzi za JK ambapo democracy ilikuwa inaheshimiwa...2025 mama atapita kwa kishindo sana,,na upinzani utarudi bungeni...Kila mtu atapewa uwanja sawa wa mapambano
 
Kesi za kubumba hata kama angekaa ndani miaka elf 2 still wasingweza mfunga naona wameamua kuweka aibu pembeni.
 
Kweli kabisa. Na hili linadhihirisha wazi kwamba hakuna uhuru wa mahakama. Na rais au serikali ndiyo yenye mamlaka yote. Kwahiyo ni afadhali mtu asiende kabisa mahakamani badala yake aiombe serikali imsaidie.

Inaonesha hakuna uhuru wa mahakama, hasa kwenye kesi zinazohusisha siasa au wanasiasa. Hivyo waachane na kesi za michongo! Tuanze upyaaa.

Na hapa ni vigumu kuwa na imani hata kwa kesi nyinginezo. Kuna uwezekano wa watz kukosa imani na mahakama na Tz kutajwa/kujuilikana kama nchi isiyo na uhuru wa kisheria; zaidi maamuzi yanatokana na amri au maoni ya kiongozi mkuu,kumtia mtuhumiwa hatiani au kuachiwa huru
Kesi za kisiasa dunia nzima ndio zilivyo angalia Rwanda, Uganda wale waliopo madarakani huwatengenezea wapinzani wao ili wasiende ikulu . Hii haihitaji shule kubwa kichwani kuelewa madame!
 
Back
Top Bottom